hajaaminisha mkubwa yeyote uovu wake wote uko wazi ni vile tu yeye ni kibaraka wao kusababisha kongo isitawalike ila once they done with kongo watamtelekeza agawanwe na interahamwe hatoaminVery right. Lakini kubali huyo mtu ni smart sana.
Angalia jinsi alivyoiinua na kuitumia genocide ya 1994 kuwaaminisha wakubwa kuwa ni yeye tu hadi sasa anayeweza kuleta amani, utulivu na maendeleo Rwanda. Kwamba kuna wakati analazimika kutumia mkono wa chuma kuhakikisha “genocidaires” hawapati nafasi kabisa ndani na nje ya Rwanda.
Uzuri tayari wengi wameshamstukia janja zake.
Kuna siku watamgeuka tuuu🤣🤣🤣🪑💺🎶📌Paul Kagame anafanya hivyo kwa maslahi ya mabeberu wa magharibi, ili na wao waendelee kulinda maslahi ya Rwanda katika Kongo mashariki. Ndio maana huwezi kusikia PK akiitwa dikteta na vyombo vya habari vya magharibi kwa sababu ni mtu wao ana faida na wao.
Hizi ni cheap propaganda za Kagame...is trying to make himself neat to the world!Kagame Poleni Kwa majukumu wadau
Kuna habari kuwa Rwanda imejipanga kuwapokea wakimbizi Toka ulaya. Ninacho dadisi ni je? Rwanda itafaidika kwa lipi?
Nawasilisha
Ndio!Serikali ifunge kambi za wakimbizi zilizohifadhi wanyarwanda warudishwe kwao mara moja. Hakuna sababu ya kuendelea kuwapa hifadhi wakati nchi yao inaweza kuwahifadhi.
Miyeyusho sanaHalafu mmi naona kama dharau flani hivi kwa Rwanda na kwa hao migrant hebu imagine umekimbia Luanda Angola halafu unapelekwa kigali Rwanda ukawe mkimbizi uko
Kuchanganya damu.Poleni Kwa majukumu wadau
Kuna habari kuwa Rwanda imejipanga kuwapokea wakimbizi Toka ulaya. Ninacho dadisi ni je? Rwanda itafaidika kwa lipi?
Nawasilisha
Moja: Mshiko kwani atapata karibia £20,000 kwa kila mkimbizi atakayepelekwa Rwanda na hadi sasa wapokea £270m na wanatarajia kupokea tena karibu £120m;Poleni Kwa majukumu wadau
Kuna habari kuwa Rwanda imejipanga kuwapokea wakimbizi Toka ulaya. Ninacho dadisi ni je? Rwanda itafaidika kwa lipi?
Nawasilisha
Siku PK akiacha kuwa kibaraka wao ndio utakuwa mwisho wake.Kuna siku watamgeuka tuuu🤣🤣🤣🪑💺🎶📌
hao itakuwa ni waafrika wa afrika magharibi, na kama waarabu watakuwemo itakuwa ni mwanzo wa kuja kuleta vurugu siku za mbeleni watakapozaliana na kuwa wengi. Kumbuka wana dini yao hawataiacha na itakuwa ni kichocheo cha kuleta fujo eneo hiloHao wakimbizi je ni wazungu au waafrica wezetu?
ukute waarabu ni wengi hilo itakuwa ni bomu litakalolipuka siku za mbeleni wakati hata huyo kagame atakuwa hayupo dunia hii. Itakuwa kama mali sudan na chad hakuna utulivu. Wale hawataacha asili ya vurugu zao watajiona ni nchi yao na wana haki nayo. Sidhani kama kuna wazungu watakaoletwa rwanda labda iwe ni kwa mkakati fulani hivi wa siri za duniaNi mchanganyiko Kwa taarifa zilizopo mpaka sasa.yaani mkimbizi yeyote atakaye ingia ulaya hola kibali atapelekwa Rwanda (Kigali)
watamletea viwanda ili rwanda iwe kama ulaya au atawageuza vibaraka wake?Kagame sio mjinga.....anajua anafanya nini