Sijui mkuu wanaojua watatujuza.mama yake yuko wapi?
Sijui mkuu jide si huwa hana mtoto mpaka sasa.Gadner hakubahatika mtoto na Lady Jaydee?
Maana yake enjoying the life to its fullest: kula vzuri, vaa pendeza, ishi kwny nyumba quality, take a vacation, push ndinga kaliiiiiiiiiii, have plenty of money, be stressfree etc!!Ku
Kutimiza kilichokuleta duniani maana yake ni nini?
Labda ni prime number, haiwezekani aishi na mume tangu 2007 hadi 2015 halafu asibahatike hata mmojaSijui mkuu jide si huwa hana mtoto mpaka sasa.
labda mimi ndio sijui kuwa hana mtoto.Labda ni prime number, haiwezekani aishi na mume tangu 2007 hadi 2015 halafu asibahatike hata mmoja
Mimi pia najua kuwa hana mtoto, ila sikujua kama aliwahi kuolewa na akaishi miaka mingi hivyo na mumelabda mimi ndio sijui kuwa hana mtoto.
Inategemea, kuna wanaokufa mapema kwa ajili ya Ndoa kuwa Ndoano japo mimi siyo Timu kataa Ndoa.Ukiishi kisela utakufa mapema
Ndio maisha yalivyo mkuu, jide hakubahatika mtoto na GadnerMimi pia najua kuwa hana mtoto, ila sikujua kama aliwahi kuolewa na akaishi miaka mingi hivyo na mume
kuna watu wana miaka mingi ajabu hawana potential kwa jamii yao.
Yani wabongo mna wivu hadi mkiwa kaburini haya na mwanaume akifiwa na mkewe anatakiwa akae miaka mingapi, mtu umeshakufa ya duniani yanakuhusu nini ukishakufa hakuna ndoa tena, huyo mwenza uliyemuacha anahesabika yuko single ndio maana ya kiapo mpaka kifo kiwatenganishekuna wanawake ni washenzi sana, kaburi bado bichi mme wake hajaoza tayari mke anapelekewa moto bila aibu. Walau asubiri mwaka mmoja ndo aanze kupekechwa, manina zao wanaudhi sana
Mauti zipo kuna wanaokufa kwa Ngoma, ajali za vyombo vya moto na magonjwa mengine. Uwepo wa UKIMWI haujustify mwanaume kusimama mbele za watu na kujisifu kupiga punyeto. Mbona wengine hatupigi punyeto na hatuna UKIMWI. Unajidharirisha hata kama hatujuani ila ni kweli una mtindio wa akili, huna pesa, huna nguvu za kiume na possibly una kibamia so psychological haupo sawa na kiroho una mapepo. Hakuna mwanadamu timamu anajisifia kupiga punyeto. Kama unaona kupiga punueto ni kiti kizuri na cha kujisifia, kama una baba na mama yako waeleze leo kuwa wewe unapiga punyeto na hutaoa uone watakavyo react.walio na akili timamu na wasio na mapepo hao hapo wanakata moto na ngoma
umejuaje ?una kibamia
NAKAZIAKATAA NDOA NI UTAPELI
Kabla ya kuwa na Jide alikuwa na mama mmoja alikua na Duka linaitwq Tanrose pale Shoppers , ndio akingia clouds na kuwa na JideTatizo la Gardner nikupenda sana kitonga!
Mama Caren alikua na biashara zake nzuri tu za maduka ya nguo Mwanza,lakini baada ya yule Mother kushuka,Jamaa akampiga chini, akaenda kwa Jay Dee,na ndiyo huko kakutana na stress za maisha hadi akawa mlevi wakupindukia!
Nina kaka yangu, ni rafiki yake sana na Gardiner tumekaa sana na jamaa (G) Garder pale Tripple Seven Dsm,jamaa kwenye bills hakuwa na ushirikiano sana!