Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.

Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.

Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy.
Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita.
Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.

Funzo tulilopata,hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.

Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.

Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.

Bila ndoa hutoboi 50
Tuenziii matemdooo yaoo ama manenioyaooo bwana wewee
 
TUANZE NA MIAKA YAO TUJUE UMUHIMU WA NDOA
RUGE KAFA NA MIAKA ....
GARDNER...
EEKIBONDE......
A.CHIFUPA....
DJ NANIII.......

DUH AISEEEE CLOUDS WAMEUMIZWA SANAA JAMAN MPAKA WENGINE WANASEMA ATUJUI HATA ANAEFWATA HUMU NDAN UWIII..
 
Kuna mkakaaaa huku kwetu alikufa ndani ya mwezi akaanza kuonekana na rafiki wa karibu wa yule jamaa bar wanalewa navyoongea babies kafanyaa maamuzi yuko na jamaaaa..sasa sijajua jamaa nae katimua mke ama lah haya ndio mambooo single awaytaki kuwaza wakiwa kaburini yaaan wawazee walivyoogopa mademu wajekuwaza na kuliwa wake zaoo haikoohioo
 
Mnapendaga kujustify ujinga. Wote hao hawakuwa kataa ndoa; na katika wote hao hakuna mtu ambaye alii-honor ndoa yake kama Kibonde. Kibonde ambaye baada ya mkewe kufariki alishindwa kukaa kwenye nyumba yake mwenyewe; akawabeba na watoto wake wakahamia kwa wazazi wake sijui. Unaweza ukaimagine kuondoka kwa mkewe kulikuwa na effects gani kwake. Hata wengine walitabiri kuwa Kibonde hataishi muda mrefu kwa sababu alikuwa na very strong bond na marehemu mkewe; na kweli hakukaa sana, likatokea la kutokea. Wewe kataa tu ndoa kwa sababu zako binafsi
 
Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.

Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.

Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy.
Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita.
Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.

Funzo tulilopata,hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.

Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.

Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.

Bila ndoa hutoboi 50
ndo muoe sasa
 
Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.

Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.

Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy.
Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita.
Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.

Funzo tulilopata,hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.

Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.

Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.

Bila ndoa hutoboi 50
Kuna mama ni mjane wa miaka 75 alifiwa akiwa na 35 Sasa imekuaje katoboa 51 au ndo tafiti za watoto wa mlimani?
 
Back
Top Bottom