Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

Sample ulizotumia sio. Ila swali lako bado lipo ila linahitaji utafiti.

Ni kweli usipokuwa na mke unaishi maisha mafupi?

Binafsi sioni uhusiano wa moja kwa moja ila nachojua above 55, kataa ndoa wengi uzalendo huwa unawashinda wanaoa.
 
Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.

Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.

Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy.
Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita.
Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.

Funzo tulilopata,hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.

Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.

Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.

Bila ndoa hutoboi 50
kwa hiyo ukiwa na ndna unatoboa 50!, basi kama ni hivyo fasta tunaoa ili tuvuke hiyo miaka
 
There may be several reasons why some people believe it is better to stay single and not get married. Some of these reasons may include:

1. Independence: Being single allows individuals the freedom to make their own decisions and live their lives according to their own desires without having to consider the needs or preferences of a spouse.

2. Personal growth: Staying single can provide more opportunities for personal growth and self-discovery. Single individuals can focus on their own personal development, goals, and interests without being tied down by the responsibilities of marriage.

3. Financial stability: Staying single can provide financial stability as individuals do not have to share their income or assets with a spouse. This can provide a sense of security and peace of mind in terms of financial independence.

4. Avoiding relationship conflicts: Being single can help individuals avoid the potential conflicts and challenges that often arise in marriages. Staying single can help individuals avoid the emotional stress and turmoil that can come with romantic relationships.

5. Enjoying more social freedom: Staying single can provide more opportunities for socializing and forming relationships with a wide range of people. Single individuals may have more time and flexibility to spend time with friends, pursue hobbies, and engage in social activities without the constraints of marriage.

Ultimately, the decision to stay single and not get married is a personal one and will vary depending on individual preferences and priorities. It is important for individuals to carefully consider their own values, goals, and desires when deciding whether or not to pursue a romantic relationship or marriage.
ulivyo flow tu umenifurahisha sana, thanks
 
Ukiwa kilaza huwrzi kuelewa moral of tbe stoty.mke wa kibonde alishakufa mwaka mkoja kabla,chs kujifunza ni kuwa ukiwa bachelot utakufa mapema
100% true! Maana unakua una uhuru kupitiliza so kama ni ME ndo uta loose selfcontrol(starehe) mwisho wa siku majanga..
Ndoa pamoja na mapungufu yake ila inakurekebisha kitabia kwa njia moja au nyingine
 
Si wamesema Wameachana 2015
Wale walianza zinguana miaka ya 2007 huko, kipindi hicho Jay De ana Machozi Band! Walitengana mwaka 2010 na baada ya hapo Jay De akaanza kutunga nyimbo za kebehi kwa ajiri ya Gardiner.... Kumbuka hata wanaume kama mabinti ni wimbo aliimbiwa Gardiner na kipindi hicho wote walikua pamoja!

Baada yakuachana sasa, ngoma zikaanza The ndindi,Mambo matano,Yahya! Na nyingine nyingi!
 
...anakuonaaaaaa aunamwagaaa sirikamazoteee dhh marehemu yAlimkytaaa alijua kuvumilia wallah
Wale walianza zinguana miaka ya 2007 huko, kipindi hicho Jay De ana Machozi Band! Walitengana mwaka 2010 na baada ya hapo Jay De akaanza kutunga nyimbo za kebehi kwa ajiri ya Gardiner.... Kumbuka hata wanaume kama mabinti ni wimbo aliimbiwa Gardiner na kipindi hicho wote walikua pamoja!

Baada yakuachana sasa, ngoma zikaanza The ndindi,Mambo matano,Yahya! Na nyingine nyingi!
 
Back
Top Bottom