Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,494
- 175,451
Mwamba atakuwa hamisi😁 hii kitu ni kula all night till de mornin!View attachment 2972866
Mtoto mzuri kama huyu unamuachaje eti unapiga punyeto. Pumbavu kabisa.
Mwamba atakuwa hamisi😁 hii kitu ni kula all night till de mornin!View attachment 2972866
Mtoto mzuri kama huyu unamuachaje eti unapiga punyeto. Pumbavu kabisa.
Bro ana kitu atafika mbali😁Bro,ana maisha flan hivi anapenda kujificha,hata tukiwa bar,hawezi agiza rundo la beer,yeye ni beer moja baada ya nyingine!
asanti sana mama,Hamna kataa ndoa hapo,ila kama unapendelea kuwa mseja na wewe ni mkristo inaruhusiwa so uko huru..
Biblia inasemaje kuhusu useja?
1 Wakoritho 7:32-38
"Yeyote nayefunga ndoa anafanya vyema,lakini yeyote asiyefunga ndoa atafanya VYEMA zaidi.
Ukiwa mseja,ukaishi maisha ya kumoendeza Mungu utapata wakat mzuri wa kumtumikia yeye bila kuzongwa na majukumu ya ndoa,tatizo la useja mnaoutaka vijana wa siku hizi ni ule wa kufanya umalaya ndio maana unaona siku za kuishi zinakuwa chache Kwa ajili ya lifestyle..
Mwanangu,Tlaatlaah kama utaamua kutooa basi mtumikie Mungu
shida yako ni nini hebu nenda kwenye pointKama wewe ni 'ke' kweli...basi ni aina ya akina Amina ndala ndefu Temeke.
Pumbavu tenaWe nawe utakuwa unapumuliwa. Yaani ulimwengu wa sasa ulivyo na watoto wazuri hivi kama huyu binti Konda wa Kimbinyiko ya kutoka Mbeya kwenda Dodoma leo alafu we una kazi ya kutusumbua humu na punyeto. Pumbavu kabisa. Jamaa yupo sahihi, una shida wewe ya kiakili. Maskini mkubwa.
Utakufa kifo kibaya wewe unazidiwa akili hata mbwahamjui tu nyeto ilivyo tamu
Naam,asanti sana mama,
sauti ya wito wa Mungu katika maisha yangu ni NDOA, na si vinginevyo. Nafurahi kukuarifu na kukuhakikishia kwamba, nimeitikia wito wa Mungu na wako wewe mama yangu kipenzi sana Joannah na kuutekeleza kadiri ya mpango wake Mungu
na nitang"ang"ana nayo kabisa, ili nisikose Neema na Baraka hizi za kipekee kabisa kutoka kwa Mungu kuputia neno na ahadi zake na kwakweli kufurahia baraka kutoka kwako Mama yangu mpendwa sana JoannahNaam,
Biblia inasema hivi kwenye ,
Mithali 18:22
Apatae mke apata kitu chema,nae ajipatia kibali Kwa BWANA
Mhubiri 4:9
Wawili ni afadhali kuliko Mmoja
Mwanzo 2:24
Mwanaume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe.
Umechagua fungu jema mwanangu,Una Baraka zote za mama....
Alikua kapanga!Heee so kumbe hata nyumba hakuwa nayo?usiniambie alkuwa anapanga??
Barikiwa ❤️