Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,607
Ila huu umri wa kuanzia miaka 30 ni kama una pepo hivi... kwasisi ambao tumeupita yaani kuna saa unakuwa unaogopa kwamba uzee unakuja..
Mimi binafsi hata mvi zishaota kwenye kidevu, inanipa simanzi sana, sema kwakuwa nina familia at least naona afadhali
Mimi binafsi hata mvi zishaota kwenye kidevu, inanipa simanzi sana, sema kwakuwa nina familia at least naona afadhali