Kwa urafiki wa mwanamke na mwanaume kama anaotaka Mtoa mada vina uhusiano.Mshahara wako na urafiki vina uhusiano gani.?
Mshahara mdogo huo angalau iongezeke 0 nyingineMimi ni kijana.. mchangamfu na mcheshi.
Umri wangu miaka 26
Mshahara wangu kwa mwezi ni laki 4.
Natafuta rafiki wa kike,
Comment vizuri nikufate PM
Vidume wajuzi mtanisaidia nipate rafik mchangamfu.
Weekend ya leo Nipo kinyonge sana.
Exactly, bora alivyo sema tungeingia mkenge.Urafiki wa mwanamke na mwanaume kama anaotaka Mtoa mada vina uhusiano.
Mabinti siku hizi wanauliza, unajishughulisha na nini? Wanataka kupima kiwango cha vizinga unachostahili.
Kwa lugha nyepesi, mtoa uzi kaweka kila jambo bayana. Huyo rafiki asije kumpiga vya zaidi ya 30k monthly.
Ili mje kwa password 😂😂😂Kwanini umetutajia na laki ine yako?