ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,927
- 27,484
Mkuu wewe ni Auto electrician?Aseee pole,.fundi wengi hawajui kusoma wiring diagram za magari so wanafanya kazi kimazoea...ukijua soma wiring diagram na kua na natural intelligence ya kutengeneza logic kichwan kuhusiana na tatizo husika basi tatizo lina sortika kirahisi..shida fundi wetu hata intelligence ya kuweza ku generate scenario zinazohusiana na tatizo husika hawana matokea yake approach wanayotumia kutatua tatizo inakua si utengenezaji bali uharibifu.
Kumbuka hapa Bongo hatuna mafundi tuna parts changer tu.. yaan wazee wa ku replace lakini ku diagnose issue mpaka ukapata uundani wa kitu(hasa electrical problems na intermittent car problems ambazo zinatokea occasionally...these kind of problems very rarely kua solved na hawa mafundi wetu.. because of these issues niliamua ku any advanced DIY person ninae fanya project zangu binafsi kwakua mafundi wetu ni changamoto.