Kuendelea kuungua kwa magari aina ya Nissan Dualis nchini Tanzania

Gotze Giyani

Senior Member
Feb 28, 2022
122
182
Mtu mmoja Mwajuma Mohamed mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Veta Jijini Mbeya amenusurika kifo usiku wa kuamkia leo Julai 31 baada ya gari alilokuwa akiendesha aina ya Nissan Dualis kuteketea kwa moto katika eneo la Kabwe kata ya Iyela Jijini Mbeya

Afisa habari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji Mkoa wa Mbeya Esther Kinyaga amesema baada ya kupata taarifa walifika eneo la tukio lakini gari lote lilikuwa limeshaungua na hakuna madhara kwa binadamu zaidi

Hivi wadau hizi gari shida uwa nini mbona huko Japan wanapotengeneza hayaungui au ni kwamba hawaripoti
 
Elimu, elimu elimu.

Kule mafundi ni watu wenye hobbie na ufundi. Wamejielimisha wanazijua gari na wanatengeneza kitaalamu na kikanuni.

Kwetu eti VETA waende walioshindwa kufaulu vizuri. Seriously. Tena bora waende VETA wakapate na nadharia nyuma ya ufundi. Kuna hawa wanaoenda kwa ujuzi wa vitendo tu hao ndio hatari kabisa.

Siku fundi ananishauri, kuwa tafuta kiwaya pachika hivi itawaka. Nilikuwa nimeenda kununua fyuzi kama anazo.

Alipoona nnasita akasema kwa msisitizo kabisa😳 yaani unaona hapa ni kwamba kameungua tu kamekatika ukiweka waya 'wowote' inawaka. Ni kweli itawaka lakini kwa kanuni zipi?

Tusiwaseme mafundi tu, kila dereva anapaswa naye kuijua gari yake. Uzembe katika elimu binafsi ya gari hiyo ni juu ya mmiliki pia. Ukiishi kimazoea utapata matokeo ya kimazoea tu.

Binafsi nikisikia concept ya hybrid car n aitamani sana. Maana tupo kwenye era ya kutumia umeme kidogo na mafuta kidogo. Nadhani ukiwa na elimu na akili timamu hakuna gari ya kuiogopa.
 
Elimu, elimu elimu.

Kule mafundi ni watu wenye hobbie na ufundi. Wamejielimisha wanazijua gari na wanatengeneza kitaalamu na kikanuni.

Kwetu eti VETA waende walioshindwa kufaulu vizuri. Seriously. Tena bora waende VETA wakapate na nadharia nyuma ya ufundi. Kuna hawa wanaoenda kwa ujuzi wa vitendo tu hao ndio hatari kabisa.

Siku fundi ananishauri, kuwa tafuta kiwaya pachika hivi itawaka. Nilikuwa nimeenda kununua fyuzi kama anazo.

Alipoona nnasita akasema kwa msisitizo kabisa yaani unaona hapa ni kwamba kameungua tu kamekatika ukiweka waya 'wowote' inawaka. Ni kweli itawaka lakini kwa kanuni zipi?

Tusiwaseme mafundi tu, kila dereva anapaswa naye kuijua gari yake. Uzembe katika elimu binafsi ya gari hiyo ni juu ya mmiliki pia. Ukiishi kimazoea utapata matokeo ya kimazoea tu.

Binafsi nikisikia concept ya hybrid car n aitamani sana. Maana tupo kwenye era ya kutumia umeme kidogo na mafuta kidogo. Nadhani ukiwa na elimu na akili timamu hakuna gari ya kuiogopa.
Nilishawahipeleka gari inawaka taa ya ABS, fundi akakimbilia kutoa fuse ya ABS. Bahati nzuri nilimuona nikamuambia irudishie tu hiyo fuse, maana shida haipi hapo
 
Elimu, elimu elimu.

Kule mafundi ni watu wenye hobbie na ufundi. Wamejielimisha wanazijua gari na wanatengeneza kitaalamu na kikanuni.

Kwetu eti VETA waende walioshindwa kufaulu vizuri. Seriously. Tena bora waende VETA wakapate na nadharia nyuma ya ufundi. Kuna hawa wanaoenda kwa ujuzi wa vitendo tu hao ndio hatari kabisa.

Siku fundi ananishauri, kuwa tafuta kiwaya pachika hivi itawaka. Nilikuwa nimeenda kununua fyuzi kama anazo.

Alipoona nnasita akasema kwa msisitizo kabisa😳 yaani unaona hapa ni kwamba kameungua tu kamekatika ukiweka waya 'wowote' inawaka. Ni kweli itawaka lakini kwa kanuni zipi?

Tusiwaseme mafundi tu, kila dereva anapaswa naye kuijua gari yake. Uzembe katika elimu binafsi ya gari hiyo ni juu ya mmiliki pia. Ukiishi kimazoea utapata matokeo ya kimazoea tu.

Binafsi nikisikia concept ya hybrid car n aitamani sana. Maana tupo kwenye era ya kutumia umeme kidogo na mafuta kidogo. Nadhani ukiwa na elimu na akili timamu hakuna gari ya kuiogopa.
Umezunguka
 
Ila Dualis zina shida ya kiwandani. Firewall yake iko karibu sana na exhaust manifold, zile clip za plastic zikikatika zinailalia exhaust manifold na kwasababu inakuwa ya moto, inawasha. Ndio moshi mweusi huo nahisi.

NB firewall ni ile plastic inayokaa nyuma kwenye bonnet chini ya kioo kuzuia joto la engine kuja kwenye body/ndani
 
Back
Top Bottom