byakunu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 517
- 1,145
Ni katika muendelezo ule ule wa Dualis a.k.a sigala na vayolensi za moto, nakuletea nyingine hii ni DXF imelipuka huko iliko lipukia. Ifike mahali hizi gari na kuwaka moto zimalize tofauti zao. Ni dualis ya 6 inawaka moto katika nilizowahi kusikia.
Nadhani hizi gari zina shida katika mfumo wake wa umeme, kwamba mfumo hautaki iwekewe kitu chochote ambacho ni after market kuanzia balbu, honi, alarm, mziki, GPS, au modification yoyote itakayo gusa component ya umeme.
Tuendelee kujifunza tabia za hii gari, ila ki ujumla hii siyo gari reliable kwa sasa ya kuweka milioni zako, huyu mwali atakutia hasara. Hapo nimecheki nimeona ina bima Comprehensive, lakini nijuavyo mimi mashirika ya bima ya bongo, dana dana zitakuwa nyingi sana na kusubiri hela hadi uchoke, ama akalipwa kidogo au asilipwe.
Na itafika wakati hata mashirika ya bima watakataa kuzikatia dualis kwa hii changamoto ya kupenda moto kama sigara.
Nadhani hizi gari zina shida katika mfumo wake wa umeme, kwamba mfumo hautaki iwekewe kitu chochote ambacho ni after market kuanzia balbu, honi, alarm, mziki, GPS, au modification yoyote itakayo gusa component ya umeme.
Tuendelee kujifunza tabia za hii gari, ila ki ujumla hii siyo gari reliable kwa sasa ya kuweka milioni zako, huyu mwali atakutia hasara. Hapo nimecheki nimeona ina bima Comprehensive, lakini nijuavyo mimi mashirika ya bima ya bongo, dana dana zitakuwa nyingi sana na kusubiri hela hadi uchoke, ama akalipwa kidogo au asilipwe.
Na itafika wakati hata mashirika ya bima watakataa kuzikatia dualis kwa hii changamoto ya kupenda moto kama sigara.