Nissan Dualis: Dxf Nyingine Imewaka Moto

Kwa kifupi, achana na kufanya modifications zozote kwenye wiring ya Nissan yoyote...
Haswa haya matakataka yanaitwa Android radio...
Mataa ya rangi rangi ndani mwngine yanawekwa mpaka chini ya siti..

Bro ukitaka android specific ya gari yako, ipo!.

Shida watu wanapenda vitonga, Radio ya gari kama BMW e90 bei yake siyo chini ya 1m mpaka unaiclear airport.

Hata atakayeleta atauza sh. ngapi na watu wangapi wataafford?

Kukumba redio specific ya gari yako haina hayo mambo ya kukata wire, Ni kutoa iliyopo na kupachika mpya.

Mtu anaona bora akafunge radio ya bei chee.

Hiyo bMw nimetoa tu mfano lakini gari kama toyota subaru bei haifiki huko japo ni gharama ukilinganisha na universal.

Kitu kingine.

Gari yoyote wametoa room ya kufanya modification, Ndio maana fuse box inakuwa na space ambazo zimeachwa wazi kwa ajili ya fuses na relay kama modification utakayofanya itakuhitaji utumie wiring ya gari.

Kitu kingine, fuse box inakuwa na space kwa ajili ya fuses na relays in case kama mtu anataka kufanya modification na atatumia wiring ya gari.

Pia kwenye kufanya modification, mtu akichukulia umeme kwenye main supply hamnaga shida. Ground achukulie kwenye body.

Pia kwenye kuunganisha wire, mtu akichubua wire anaziviriga na mikono anatengeneza weak links kwenye mfumo wa umeme hivyo ndio vyanzo vya moto.

Kwanini mtu usitumie Crimping pins kama hizi?



Mambo mengine ya kujitakia.
 
Ni katika muendelezo ule ule wa Dualis a.k.a sigala na vayolensi za moto, nakuletea nyingine hii ni DXF imelipuka huko iliko lipukia. Ifike mahali hizi gari na kuwaka moto zimalize tofauti zao. Ni dualis ya 6 inawaka moto katika nilizo wahi kusikia.

Nadhani hizi gari zina shida katika mfumo wake wa umeme, kwamba mfumo hautaki iwekewe kitu chochote ambacho ni after market kuanzia balbu, honi, alarm, mziki, GPS, au modification yoyote itakayo gusa component ya umeme.

Tuendelee kujifunza tabia za hii gari, ila ki ujumla hii siyo gari reliable kwa sasa ya kuweka milioni zako, huyu mwali atakutia hasara. Hapo nimecheki nimeona ina bima Comprehensive, lakini nijuavyo mimi mashirika ya bima ya bongo, dana dana zitakuwa nyingi sana na kusubiri hela hadi uchoke, ama akalipwa kidogo au asilipwe.

Na itafika wakati hata mashirika ya bima watakataa kuzikatia dualis kwa hii changamoto ya kupenda moto kama sigara.
View attachment 2559323
Mimi nadhani tatizo sio gari bali watakuwa mafundi wetu. Wakishacheza na umeme kwa kufunga sijui madude gani humo kwenye gari kama boosters na mambo mengine watakuwa kuna namna wanavyofunga kienyeji na hii migari ya umeme ndipo tatizo linaanzia hapo. Haya ni mawazo yangu yanaweza yasiwe kweli.
 
Bro ukitaka android specific ya gari yako, ipo!.

Shida watu wanapenda vitonga, Radio ya gari kama BMW e90 bei yake siyo chini ya 1m mpaka unaiclear airport.

Hata atakayeleta atauza sh. ngapi na watu wangapi wataafford?

Kukumba redio specific ya gari yako haina hayo mambo ya kukata wire, Ni kutoa iliyopo na kupachika mpya.

Mtu anaona bora akafunge radio ya bei chee.

Hiyo bMw nimetoa tu mfano lakini gari kama toyota subaru bei haifiki huko japo ni gharama ukilinganisha na universal.

Kitu kingine.

Gari yoyote wametoa room ya kufanya modification, Ndio maana fuse box inakuwa na space ambazo zimeachwa wazi kwa ajili ya fuses na relay kama modification utakayofanya itakuhitaji utumie wiring ya gari.

Kitu kingine, fuse box inakuwa na space kwa ajili ya fuses na relays in case kama mtu anataka kufanya modification na atatumia wiring ya gari.

Pia kwenye kufanya modification, mtu akichukulia umeme kwenye main supply hamnaga shida. Ground achukulie kwenye body.

Pia kwenye kuunganisha wire, mtu akichubua wire anaziviriga na mikono anatengeneza weak links kwenye mfumo wa umeme hivyo ndio vyanzo vya moto.

Kwanini mtu usitumie Crimping pins kama hizi?



Mambo mengine ya kujitakia.

Gari ukitumia kama ilivyotengenezwa
Mimi nadhani tatizo sio gari bali watakuwa mafundi wetu. Wakishacheza na umeme kwa kufunga sijui madude gani humo kwenye gari kama boosters na mambo mengine watakuwa kuna namna wanavyofunga kienyeji na hii migari ya umeme ndipo tatizo linaanzia hapo. Haya ni mawazo yangu yanaweza yasiwe kweli.
Hivi kwani ni lazima kufunga hayo makolokolo? Mbona gari zina kuja na vitu standard tu? Kuna hizi radio za android imekuwa kama fashion sasa kila mtu anataka aweke hata kama gari ina redio yake nzuri tu, stupid kabisa
Mimi nadhani tatizo sio gari bali watakuwa mafundi wetu. Wakishacheza na umeme kwa kufunga sijui madude gani humo kwenye gari kama boosters na mambo mengine watakuwa kuna namna wanavyofunga kienyeji na hii migari ya umeme ndipo tatizo linaanzia hapo. Haya ni mawazo yangu yanaweza yasiwe kweli.
 
Kwa kifupi, achana na kufanya modifications zozote kwenye wiring ya Nissan yoyote...
Haswa haya matakataka yanaitwa Android radio...
Mataa ya rangi rangi ndani mwngine yanawekwa mpaka chini ya siti..
Kuna moja niliona jamaa kaitia hizo taa hadi kwenye legroom tena ni zile taa za marangi rangi Aiseee watu tunapishana interest modification nayowezafanya labda kubadili seat cover. Hayo mengine sjui kupimp mara kuweka maspoiler hunikuti. Au labda na uzee nao unachangia (kidding)
 
Mkuu pertoli hiyo bora hata disel unaweza sema umwagie mchanga kabla ya kuchanganya yaani ukisogea tuu moto ukienda kwenye tank ni bomu.
Mwaka 2021 kama sijakosea mwezi Machi pikipiki yangu iliwaka moto yote, source ya moto ni kuwa fundi alikuwa anarekebisha compression.

Kuna namna wanafungua pale inakaa plug wanaweka oil chafu halafu wanapiga kiki

Sasa huyu fundi alichonishangaza yeye ile oil chafu anaichanganya na petroli na ndio shida ilianzia hapo, alifungua koki akachukua petroli kidogo ili achanganye na oil...

Kule kwenye koki hakufunga vizuri matone yakawa yanadondoka moja moja.. akachamoa plug na ule waya inakovishwa plug uko pembeni ya block ... Najua unajua nini kilifuata

Basi mtaalamu akamimina ile mixer ya oil+petroli kwenye tundu la plug, akaanza kupiga kiki kumbe ule waya wa plug unatoa cheche, kiki ya kwanza ya pili ya tatu ikakutana na tone la petroli.. Ni hivi ile pikipiki iliwaka moto yote kibaya zaidi nilikua nimejaza mafuta full tank niende mashambani na safari ikakomea hapo hapo.

Ilinichukua week kadhaa kusahau ule moto nikawa kila nikiona moto nakumbuka ulivyoifanya bike yangu, kwa hiyo ni kweli moto wa petroli ni mkali sana na una blaze kubwa maana kuna jamaa walikua wanakuja na mchanga kila wakimwagia moto ndio unazidi.

Dakika kadhaa tu pikipiki iligeuka screpa moto wa sio mchezo ila wa petroli hatari yake sio ndogo acha kabisa.
 
Bro ukitaka android specific ya gari yako, ipo!.

Shida watu wanapenda vitonga, Radio ya gari kama BMW e90 bei yake siyo chini ya 1m mpaka unaiclear airport.

Hata atakayeleta atauza sh. ngapi na watu wangapi wataafford?

Kukumba redio specific ya gari yako haina hayo mambo ya kukata wire, Ni kutoa iliyopo na kupachika mpya.

Mtu anaona bora akafunge radio ya bei chee.

Hiyo bMw nimetoa tu mfano lakini gari kama toyota subaru bei haifiki huko japo ni gharama ukilinganisha na universal.

Kitu kingine.

Gari yoyote wametoa room ya kufanya modification, Ndio maana fuse box inakuwa na space ambazo zimeachwa wazi kwa ajili ya fuses na relay kama modification utakayofanya itakuhitaji utumie wiring ya gari.

Kitu kingine, fuse box inakuwa na space kwa ajili ya fuses na relays in case kama mtu anataka kufanya modification na atatumia wiring ya gari.

Pia kwenye kufanya modification, mtu akichukulia umeme kwenye main supply hamnaga shida. Ground achukulie kwenye body.

Pia kwenye kuunganisha wire, mtu akichubua wire anaziviriga na mikono anatengeneza weak links kwenye mfumo wa umeme hivyo ndio vyanzo vya moto.

Kwanini mtu usitumie Crimping pins kama hizi?



Mambo mengine ya kujitakia.
We jamaa unajua sana basi tu ni vile uko darisalama. Nyie watu wa Dar mtumieni huyu mtaalamu kufanya hizo modification hamtojuta.

Maumeme ya magari anayaelewa kila mara napomsoma nakuta ana jambo jipya la kunipa ufahamu, hongera chief.
 
Mimi sina gari ila nashangaa baadhi ya vitu wanavyofunga wenye magari sijui wenge sijui ushamba...

Mwingine anatoa Rim kali imekuja na gari anaweka la mchina
Ipo siku utakua nalo mkuu usiwaze cha muhimu ni mipango na focus hakunaga maajabu.

Nikirudi kwenye hoja yako ni kweli kuna baadhi ya vitu sijui watu hua wanafikiria nini, jamaa yangu wa karibu kuna siku kaangalia rim za gari yangu akaanza oohh mwanangu hizi badilisha weka sports gari itapendeza sana.

Nilimuitikia mdomoni kumridhisha moyoni nilipingana naye pakubwa.
 
Walioitengeneza wameacha room ya modification.

Wana sababu yao nzuri tu.
Sawa lakini kwa vitu vya msingi sana mfano security systems!! Napo inashauriwa kuepuka mafundi testa chini ya mwembe!! Sasa unaweza kuona electronics devices duni za kichina ikiwemo mataa taa ya urembo na madudu mengine ya kufanana na hayo, wenyewe wanaita ku pimp gari yan ni upuuzi mtupu!! ( samahani kwa mnaopenda kufanya hivyo) lakini ukweli lazima usemwe
 
Sawa lakini kwa vitu vya msingi sana mfano security systems!! Napo inashauriwa kuepuka mafundi testa chini ya mwembe!! Sasa unaweza kuona electronics devices duni za kichina ikiwemo mataa taa ya urembo na madudu mengine ya kufanana na hayo, wenyewe wanaita ku pimp gari yan ni upuuzi mtupu!! ( samahani kwa mnaopenda kufanya hivyo) lakini ukweli lazima usemwe
Unakutana na gari imefungwa haya madubwasha...
Screenshot_2023_0323_215239.jpg
 
Back
Top Bottom