kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,626
- 6,676
Nna jamaa yangu mmoja kafunga hizo makitu kwenye jeep yake aliyoifanyia modification.Unakutana na gari imefungwa haya madubwasha...View attachment 2563160
Nna jamaa yangu mmoja kafunga hizo makitu kwenye jeep yake aliyoifanyia modification.Unakutana na gari imefungwa haya madubwasha...View attachment 2563160
HakikaNi ushamba na utoto mwingi
Hauwezi kumkuta mtu anayejielewa akajaza gari lake hayo makorokoro eti kupimp gari
Anatamani au analia? Usiombe hii kitu mzee wangu!....Uyo jamaa ana tamani kulia
Poleni. Ila kwa nini uweke vifaa zaidi ya vilivyopo ktk gari? Na kama ni lazima, ni vizuri kutumia mafundi wenye uzoefu au dealer wa aina ya gari husika.Ni katika muendelezo ule ule wa Dualis a.k.a sigala na vayolensi za moto, nakuletea nyingine hii ni DXF imelipuka huko iliko lipukia. Ifike mahali hizi gari na kuwaka moto zimalize tofauti zao. Ni dualis ya 6 inawaka moto katika nilizowahi kusikia.
Nadhani hizi gari zina shida katika mfumo wake wa umeme, kwamba mfumo hautaki iwekewe kitu chochote ambacho ni after market kuanzia balbu, honi, alarm, mziki, GPS, au modification yoyote itakayo gusa component ya umeme.
Tuendelee kujifunza tabia za hii gari, ila ki ujumla hii siyo gari reliable kwa sasa ya kuweka milioni zako, huyu mwali atakutia hasara. Hapo nimecheki nimeona ina bima Comprehensive, lakini nijuavyo mimi mashirika ya bima ya bongo, dana dana zitakuwa nyingi sana na kusubiri hela hadi uchoke, ama akalipwa kidogo au asilipwe.
Na itafika wakati hata mashirika ya bima watakataa kuzikatia dualis kwa hii changamoto ya kupenda moto kama sigara.
Na kuna raba fulani wanaweka kwenye milango, ha ha mi hizo mambo ndio mbali mbali kabisa.
Aisee!Unakutana na gari imefungwa haya madubwasha...View attachment 2563160
😂 😂 😂 😂 Lina rembuaGari inakuwa kama Jini Maimuna
Hasa hasa IST na Rumion..Ni ushamba tu wa kifikra.
Haya utayakuta kene IST,Vitz,Altezza,Subaru
Huwa nasikia vibaya nikiyaona...au wwngine wanafunga kale kamkanda sehemu ya kuvutia gari..Nna jamaa yangu mmoja kafunga hizo makitu kwenye jeep yake aliyoifanyia modification.
Si kwamba tunaharibu biashara zenu...ila kuna aina ya urembo mnauleta, unafanya magari ya vijana yanakuwa kama majini...Kwahyo sisi wenye maduka ya urembo wa magari tutakula wapi?
Si kwamba tunaharibu biashara zenu...ila kuna aina ya urembo mnauleta, unafanya magari ya vijana yanakuwa kama majini...
Yaani kuna hawa vijana wadogo walioajiriwa jeshini, ukiona hizo IST zao na Rumion walivyozijaza maurembo, gari zimekuwa jini..
Rumion ni gari nzuri nafikiri kwa toyota gari zake ndogo ndo gari nzuri kuliko zote. Rumion ni ist ama spacio sababu zina engine inayofanana. Ndio gari unaezasafiri nayo mbali kwa gharama nafuu.japo ulaji wake unazidi kidogo sana kwa spacio na ist na hii ni sababu ya umbile lake ambali linapingana na aerodynamics yenyewe haipenyi kwenye upepo bali inapingana nao. Ila utofauti wa ulaji huu ni negligble.Hivi kuna siri gani wanajeshi wapya na Rumion?
Au ni maagizo kutoka juu
Yaani kama hajanunua Rumion basi premio/IST
Ili akaweke kale kamkanda,na fog light za blue blue
Mlimalizanaje na fundi mkuu??Mwaka 2021 kama sijakosea mwezi Machi pikipiki yangu iliwaka moto yote, source ya moto ni kuwa fundi alikuwa anarekebisha compression.
Kuna namna wanafungua pale inakaa plug wanaweka oil chafu halafu wanapiga kiki
Sasa huyu fundi alichonishangaza yeye ile oil chafu anaichanganya na petroli na ndio shida ilianzia hapo, alifungua koki akachukua petroli kidogo ili achanganye na oil...
Kule kwenye koki hakufunga vizuri matone yakawa yanadondoka moja moja.. akachamoa plug na ule waya inakovishwa plug uko pembeni ya block ... Najua unajua nini kilifuata
Basi mtaalamu akamimina ile mixer ya oil+petroli kwenye tundu la plug, akaanza kupiga kiki kumbe ule waya wa plug unatoa cheche, kiki ya kwanza ya pili ya tatu ikakutana na tone la petroli.. Ni hivi ile pikipiki iliwaka moto yote kibaya zaidi nilikua nimejaza mafuta full tank niende mashambani na safari ikakomea hapo hapo.
Ilinichukua week kadhaa kusahau ule moto nikawa kila nikiona moto nakumbuka ulivyoifanya bike yangu, kwa hiyo ni kweli moto wa petroli ni mkali sana na una blaze kubwa maana kuna jamaa walikua wanakuja na mchanga kila wakimwagia moto ndio unazidi.
Dakika kadhaa tu pikipiki iligeuka screpa moto wa sio mchezo ila wa petroli hatari yake sio ndogo acha kabisa.
Wengine wanakaweka karefu mpaka kanaburuza chini pamoja na clip kwenye kila corner ya bumper mbele na nyuma.Huwa nasikia vibaya nikiyaona...au wwngine wanafunga kale kamkanda sehemu ya kuvutia gari..
Wale machalii ni ushamba wa kuigana...Hivi kuna siri gani wanajeshi wapya na Rumion?
Au ni maagizo kutoka juu
Yaani kama hajanunua Rumion basi premio/IST
Ili akaweke kale kamkanda,na fog light za blue blue
...huwa nashangaa wanataka nini..Wengine wanakaweka karefu mpaka kanaburuza chini pamoja na clip kwenye kila corner ya bumper mbele na nyuma.
Sheria ya kwanza ya kumiliki NISSAN. Keep it as close to OEM as possible. Maana yake wiring OG, spare OG.Kwa kifupi, achana na kufanya modifications zozote kwenye wiring ya Nissan yoyote...
Haswa haya matakataka yanaitwa Android radio...
Mataa ya rangi rangi ndani mwngine yanawekwa mpaka chini ya siti..