Warrior
JF-Expert Member
- Oct 2, 2015
- 734
- 753
Hizi gari zinapoelekea siyo kuzuri kabisa, siku ya tarehe 30 July 2023 majira ya saa moja usiku maeneo ya kabwe Mbeya gari aina ya Nisaan dualis imewaka moto vibaya mnoo, bahati nzuri dereva aliwahi kuvunja vioo na kufanikiwa kutoka nje ya gari...
Video
Video