Ninahisi kupata ugonjwa wa sonona, nahitaji rafiki wa kike

Sababu kubwa za sonona kwa vijana wa sasa ni
1- ukosefu wa pesa
2-ukosefu wa ajira (umesoma ila huna kazi)
3-Mapenzi (kutokuwa na mwenza wa kukupunguzia nyege)
4-Kuwa mbali sana na Mungu (moyo huwa unakosa amani)
5- Kupenda kujilinganisha maisha yako na watu wengine(wanaokuzunguka/mitandaoni)
 
Mwanzo Nilisoma Sonono Kumbe Ni Sonona.

Haya Maneno Yapo Kinamna Fulani Hivi.


Ila Kila La Kheri Mkuu Wapo Wengi Sana
 
Sababu kubwa za sonona kwa vijana wa sasa ni
1- ukosefu wa pesa
2-ukosefu wa ajira (umesoma ila huna kazi)
3-Mapenzi (kutokuwa na mwenza wa kukupunguzia nyege)
4-Kuwa mbali sana na Mungu (moyo huwa unakosa amani)
5- Kupenda kujilinganisha maisha yako na watu wengine(wanaokuzunguka/mitandaoni)
Namba 3 hii umeifanyia tafiti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom