Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 765
- 1,857
MmmhNahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
MmmhNahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Nahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Umekuja kumtoa Sonona?Mmmh
Ili umpelekee moto??Nahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Usicheke msaidie mwenzako huyo🤣🤣🤣🤣
Wanaume wa hivi mwenye stress akipanda hashuki, anapiga kama analimaUmekuja kumtoa Sonona?
Haya sasa ndio umufuate PM mkayajenge ili akipanda asikushukieWanaume wa hivi mwenye stress akipanda hashuki, anapiga kama analima
Wewe unahitaji kuwa karibu na psychologist au daktari ili upone kwanza uhitaji kuwa na mtoto wa mtu kwa sasa mpaka upone kwanzaNahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Duh mi ni Liverpool haya banaKijana unaishi kama mzee lazima akili iwe wazi kufurahi kama mimi nimekuwa furaha ya ghafla moyoni baada ya Arsenal kumfunga liverpunga na jana simba kushinda....Shabikia hata mpira tena nenda vibanda umiza...
Jichanganye na watu inatoa mawazo mabaya zunguka hata weekend ..
Why you are so powerful?Nahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Manyon ndiyo kati kati mwa nchiKatikati mwa nchi
Wewe ni "ke"? Kwa nini utake wa kike? Au ndio njia ya kujipatia kademu kwa huruma?Nahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Niko tayari mpaka kumuonjea ladha kama ni tamuWatamuua mtoto wa watu aisee, huyu labda afanyiwe training
Niko tayari mpaka kumuonjea ladha kama ni tamuWatamuua mtoto wa watu aisee, huyu labda afanyiwe training
Nenda kawe kwà Mwamposa kule maelfu ya wadada wanaombewa wapate wanaume halafu wewe unahangaika.Nahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Hao hawamfai wale ni wauza nyama nyekundu parcee.. Huko kwenye mabar kuna mabinti wengi wazuri tu wanaohitaji faraja na wako tayari kufarijiuna maanisha, yenye malaya wazuri ?