makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,321
- 81,524
Acha upopoma wanaume hatuendeshwi kwa hisia mzee.
Kwa akili tu inabidi uoe huyo kakuzalia mtoto, sasa kama hana baya kwanini usimuoe, umemzalisha unaenda kuoa kwingine kisha keshokutwa mnakuja kuwananga haoa SINGLE MAZAs
Kwa akili tu inabidi uoe huyo kakuzalia mtoto, sasa kama hana baya kwanini usimuoe, umemzalisha unaenda kuoa kwingine kisha keshokutwa mnakuja kuwananga haoa SINGLE MAZAs