Nimechanganyikiwa msaada wa haraka

Fanya maamuzi kiume, acha kutanga tanga!

Sioni sababu ya mtoto wako akalelewe na watu baki wakati chance ya kuwa naye na mama yake unayo.

Cha kufanya, jibu lipo kwenye maneno yako mwenyewe hapa

"Kinachofanya nichanganyikiwe ni kwamba, nikimuoa huyu mwenye mtoto wangu ndio sina hisia nae ila hana tatizo, nikimuoa huyu single mother ambae nnampenda, siwezi kua na Amani sababu mtoto angu ataenda kuishi na baba wa kambo huku mimi nnalea mtoto wa mwingine."

Kaa chini waza vizuri.👆👆👆 Maamuzi yapo hapo
 
Poleni na majukumu ya Kila siku, nimekuja kuomba ushauri hapa Jamii Forums sababu naamini humu kuna watu wenye uzoefu au washawahi kutokewa na scenario kama hii.

Nisiwachoshe, mimi ni kijana wa miaka 34, baada ya kuona umri unasogea halafu sipati mtu ambae ninampenda, nilizoeana na binti ambae tulianzisha mahusiano ila lengo langu ilikua ni kupata mtoto, basi yule binti akaja nyumbani, tukaendelea kuishi huku tukilea mtoto, mtoto Ana umri wa mwaka mmoja Sasa.

Tatizo ni kwamba huyu binti ni wife material Lakini Sasa kwa upande wangu sina hisia nae hata kidogo, cha Kushangaza nimempenda binti mwingine ambae pia anamtoto ambae sio wangu.

Na huyu binti ambae nnaishi nae mwenye mtoto wangu karudi kwao anasema mpaka niende kumtolea posa ndo atarudi, la sivyo atabadilisha Namba za simu, na sitampata tena, na mtoto akikua atamwonesha kaburi na kumwambia baba ake alikufa.

Kinachofanya nichanganyikiwe ni kwamba, nikimuoa huyu mwenye mtoto wangu ndio sina hisia nae ila hana tatizo, nikimuoa huyu single mother ambae nnampenda, siwezi kua na Amani sababu mtoto angu ataenda kuishi na baba wa kambo huku mimi nnalea mtoto wa mwingine

N.B Mimi ni mwanaume nnaependa sana watoto, ninampenda sana mtoto wangu, mbaya zaidi ni wa kike. Naamini Kuna watu humu wanajua kudadavua haya mambo ya mahusiano na pia wanaupeo mkubwa kuliko mimi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.
Tuweke sheria wapumbavu wasiruhusiwe kujishughulisha na shughuli yoyoye ya mapenzi, mahusiano na ndoa.
 
Oa huyo mama aliyekuzalia mwana temana na hisia,huyo single Maza jiulize kwanini ni single Maza

Fainali uzeeni jomba miaka 34 umri wa kati huo ukizingua utajipunguzia life span yako kwa ma depression
 
Poleni na majukumu ya Kila siku, nimekuja kuomba ushauri hapa Jamii Forums sababu naamini humu kuna watu wenye uzoefu au washawahi kutokewa na scenario kama hii.

Nisiwachoshe, mimi ni kijana wa miaka 34, baada ya kuona umri unasogea halafu sipati mtu ambae ninampenda, nilizoeana na binti ambae tulianzisha mahusiano ila lengo langu ilikua ni kupata mtoto, basi yule binti akaja nyumbani, tukaendelea kuishi huku tukilea mtoto, mtoto Ana umri wa mwaka mmoja Sasa.

Tatizo ni kwamba huyu binti ni wife material Lakini Sasa kwa upande wangu sina hisia nae hata kidogo, cha Kushangaza nimempenda binti mwingine ambae pia anamtoto ambae sio wangu.

Na huyu binti ambae nnaishi nae mwenye mtoto wangu karudi kwao anasema mpaka niende kumtolea posa ndo atarudi, la sivyo atabadilisha Namba za simu, na sitampata tena, na mtoto akikua atamwonesha kaburi na kumwambia baba ake alikufa.

Kinachofanya nichanganyikiwe ni kwamba, nikimuoa huyu mwenye mtoto wangu ndio sina hisia nae ila hana tatizo, nikimuoa huyu single mother ambae nnampenda, siwezi kua na Amani sababu mtoto angu ataenda kuishi na baba wa kambo huku mimi nnalea mtoto wa mwingine

N.B Mimi ni mwanaume nnaependa sana watoto, ninampenda sana mtoto wangu, mbaya zaidi ni wa kike. Naamini Kuna watu humu wanajua kudadavua haya mambo ya mahusiano na pia wanaupeo mkubwa kuliko mimi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.
Hisia za nini mkuu?
Chukua mkeo mfanye maisha.
Ndoa ni zaidi ya sex!!!
 
Poleni na majukumu ya Kila siku, nimekuja kuomba ushauri hapa Jamii Forums sababu naamini humu kuna watu wenye uzoefu au washawahi kutokewa na scenario kama hii.

Nisiwachoshe, mimi ni kijana wa miaka 34, baada ya kuona umri unasogea halafu sipati mtu ambae ninampenda, nilizoeana na binti ambae tulianzisha mahusiano ila lengo langu ilikua ni kupata mtoto, basi yule binti akaja nyumbani, tukaendelea kuishi huku tukilea mtoto, mtoto Ana umri wa mwaka mmoja Sasa.

Tatizo ni kwamba huyu binti ni wife material Lakini Sasa kwa upande wangu sina hisia nae hata kidogo, cha Kushangaza nimempenda binti mwingine ambae pia anamtoto ambae sio wangu.

Na huyu binti ambae nnaishi nae mwenye mtoto wangu karudi kwao anasema mpaka niende kumtolea posa ndo atarudi, la sivyo atabadilisha Namba za simu, na sitampata tena, na mtoto akikua atamwonesha kaburi na kumwambia baba ake alikufa.

Kinachofanya nichanganyikiwe ni kwamba, nikimuoa huyu mwenye mtoto wangu ndio sina hisia nae ila hana tatizo, nikimuoa huyu single mother ambae nnampenda, siwezi kua na Amani sababu mtoto angu ataenda kuishi na baba wa kambo huku mimi nnalea mtoto wa mwingine

N.B Mimi ni mwanaume nnaependa sana watoto, ninampenda sana mtoto wangu, mbaya zaidi ni wa kike. Naamini Kuna watu humu wanajua kudadavua haya mambo ya mahusiano na pia wanaupeo mkubwa kuliko mimi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.


Pumbavu kabisa, hata sisi wake zetu kuna wakati hatuna hisia nao ila tunalazimisha kulea watoto, Pumbavu kabisa, ushaanza u shenzy na ujinga ndo unasema hauna hisia.
 
Mwili ukiwa huru Ila akili imefungwa mnyororo fahamu tu utaishia kujidhuru na kuwadhuru wasio na hatia

Tafuta mentor mzuri akujenge akili ili utoke katika hilo shimo la MAUTI ulilodumkia.
 
Poleni na majukumu ya Kila siku, nimekuja kuomba ushauri hapa Jamii Forums sababu naamini humu kuna watu wenye uzoefu au washawahi kutokewa na scenario kama hii.

Nisiwachoshe, mimi ni kijana wa miaka 34, baada ya kuona umri unasogea halafu sipati mtu ambae ninampenda, nilizoeana na binti ambae tulianzisha mahusiano ila lengo langu ilikua ni kupata mtoto, basi yule binti akaja nyumbani, tukaendelea kuishi huku tukilea mtoto, mtoto Ana umri wa mwaka mmoja Sasa.

Tatizo ni kwamba huyu binti ni wife material Lakini Sasa kwa upande wangu sina hisia nae hata kidogo, cha Kushangaza nimempenda binti mwingine ambae pia anamtoto ambae sio wangu.

Na huyu binti ambae nnaishi nae mwenye mtoto wangu karudi kwao anasema mpaka niende kumtolea posa ndo atarudi, la sivyo atabadilisha Namba za simu, na sitampata tena, na mtoto akikua atamwonesha kaburi na kumwambia baba ake alikufa.

Kinachofanya nichanganyikiwe ni kwamba, nikimuoa huyu mwenye mtoto wangu ndio sina hisia nae ila hana tatizo, nikimuoa huyu single mother ambae nnampenda, siwezi kua na Amani sababu mtoto angu ataenda kuishi na baba wa kambo huku mimi nnalea mtoto wa mwingine

N.B Mimi ni mwanaume nnaependa sana watoto, ninampenda sana mtoto wangu, mbaya zaidi ni wa kike. Naamini Kuna watu humu wanajua kudadavua haya mambo ya mahusiano na pia wanaupeo mkubwa kuliko mimi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.
Taja njinsia yako
 
Back
Top Bottom