Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,666
- 21,103
Mwanaume unaendeshwaje na hisia? Eti hauna hisia? Like seriously😂😂😂.
Bwana mdogo, kwenye haya maisha mwanaume unapaswa uombe kupata mke mwema, haijalishi mambo ya hisia wala kupenda, wanaume tunatumia ubongo kufanya maamuzi na siyo mioyo, mambo ya hisia waachie wanawake.
Huyo unayesema una hisia naye, anaweza kuja kukuchemsha ubongo mpaka hisia zikate mara 100 zaidi ya huyu wa sasa.
Chukua bapa narusha muamala. Ila iwe bapa kubwa.