Nilijua kuwa Makonda kwa staili na hulka yake hasingeweza kubaki kwenye nafasi ya Katibu mwenezi wa CCM kwa muda mrefu na imetokea.
Pia Makonda kubaki RC wa Arusha ni suala la muda tu.
Makonda ameshawekwa kati na kamati ya maadili ya CCM na hiyo ni dadili mbaya kwake.
Cha msingi zaidi ni washauri wa kisiasa wa rais Samia ambao ni dhahiri hawamshauri vizuri katika mambo mengi.
Sasa hivi Makonda atabaki madarakani kwa kitambo kidogo kuondokana na aibu ya teua tangua lakini mwishoni ataachwa mazima. Tusubiri muda ufike.
Pia Makonda kubaki RC wa Arusha ni suala la muda tu.
Makonda ameshawekwa kati na kamati ya maadili ya CCM na hiyo ni dadili mbaya kwake.
Cha msingi zaidi ni washauri wa kisiasa wa rais Samia ambao ni dhahiri hawamshauri vizuri katika mambo mengi.
Sasa hivi Makonda atabaki madarakani kwa kitambo kidogo kuondokana na aibu ya teua tangua lakini mwishoni ataachwa mazima. Tusubiri muda ufike.