Masikio Masikio
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,924
- 3,650
Rais Samia amemtua Paul Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha baada ya kudumu kwa kipindi kifupi sana kwenye uenezi na itikadi.
Wako waliokuwa wanamaifia Makonda sana ni haki yao ila ukweli ni kwamba vigogo wa CCM na mtu yeyote mwenye upeo mkubwa walishaona Makonda anajijenga yeye kwa kupitia mwavuli wa katibu mwenezi sababu ghafla mijini na vijijini jina lake ndo linaimbwa kuliko la ccm kwenye siasa hii ni hatari kubwa sana
Makonda alikuwa hajengi chama kama wengi walivyokuwa wanadhani bali, na kama angeendelea vile hata samia angempita kwa umaarufu na ingekua ni kazi ngumu tena kumzibiti Rais amefanyia kazi ushauri wa watu waliochukizwa tokea mwanzo alipomteua kuwa mwenezi wa ccm
Kuna kashfa ya kumtisha Salah ambayo hakuna aliyethibitisha bali ukweli kwamba mbwa mzee huwezi mfundisha sheria same kwa makonda hawezi acha tabia zake za majivuno, visasi, matumizi makubwa na bila huruma ya fedha za umma (extravagant), kuonea na kutishia watu hizo zipo damuni
Wako waliokuwa wanamaifia Makonda sana ni haki yao ila ukweli ni kwamba vigogo wa CCM na mtu yeyote mwenye upeo mkubwa walishaona Makonda anajijenga yeye kwa kupitia mwavuli wa katibu mwenezi sababu ghafla mijini na vijijini jina lake ndo linaimbwa kuliko la ccm kwenye siasa hii ni hatari kubwa sana
Makonda alikuwa hajengi chama kama wengi walivyokuwa wanadhani bali, na kama angeendelea vile hata samia angempita kwa umaarufu na ingekua ni kazi ngumu tena kumzibiti Rais amefanyia kazi ushauri wa watu waliochukizwa tokea mwanzo alipomteua kuwa mwenezi wa ccm
Kuna kashfa ya kumtisha Salah ambayo hakuna aliyethibitisha bali ukweli kwamba mbwa mzee huwezi mfundisha sheria same kwa makonda hawezi acha tabia zake za majivuno, visasi, matumizi makubwa na bila huruma ya fedha za umma (extravagant), kuonea na kutishia watu hizo zipo damuni