Nikisikia mwanaume anaoa mwanamke fulani ninaye mjua kitaani kwetu huwa napata huruma kwa mwamba

Apo ndo unapo bugi kwani pesa ni nini???
Screenshot_2024-04-30-11-14-22-54.png
 
Ni kweli mkuu ukitokea unataka kuoa sehem ambayo ni mgeni jichanganye na wahuni (benchi la ufundi) wa maeneo husika wakupe abc za unayetaka kumuoa, ukijumix ukaenda kichwakichwa unaweza angukia pua.
 
Back
Top Bottom