duuuh huyo ni paka poriKunguru afugiki mkuu. Kuna mmoja mwaka jana kavishwa pete ya uchumba mara ya 5, this time nduguze wakaamua kabisa kutokuchangisha watu wametoa kadi za mialiko na events zilifuatana chap chap jambo likafanikiwa. Pisi ilikuwa inauza kabla ya kugeukia kuitaka ndoa.
Nilitarajia jibu hili anyways dadako akija kuolewa jua kwamba kuna miamba inamuonea huruma pia huyo atakayekuwa anachumbia hapo maana si wamemuona akikua na wanajua tabia zake pia.Uzuri sina dada
nawee ni nanii?Unacheka nini ww mmatumbi.
Hili kabila halifai ila hamuelewagi acha muendelee kupigwa mpaka mtoke damutoto la kichagga,
Uko sahihi.Wana jukwaa wa MMU habarini?
Huwa sio siri kitaa nachokijua mimi kina watoto wakike fulani katika ukuaji wao mpaka sasa huwa baadhi yao ni ngumu kuja kuishi na wenza makini kwa maana ya wao kuingia kwenye mahusiano imara.
Juzi kati hapa kuna Me nimesikia anaoa ke fulani kitaani kwangu.
Me katokea zake huko namanyeee kaja huku ushuani kuopoa toto la kichagga, halo naona huruma kwa mwamba kwamba anatakiwa ajiandae kisaikolojia.......
Ukizingatia mwamba yuko kwenye system naona anavo lose goals....
Nitoe tu ushauri kama unaoa mbali fika unapofika ona benchi la ufundi wakupe mbili tatu kama unaweza oga maji au huwezi itakuwa kina kirefu.
Ogapa aina ya wanawake wanaotafuta ndoa na sio wao kutafutwa.....kuweni makini na hawa wasaka waume walio na maokoto......
mfano huyu mwamba anaye oa kitaa chetu akikata ringi (maokoto) lazima afe au akimbiwe na huyu demu na huyu demu ukiwa nacho wao wana asili ya kukill wabaki nazo....pole kwa mwamba na karibu kwetu uchaggani kwa wakwe.....
Asante kakaMwika umepata mke, hongera sana.
Jamaa kadata balaa na demu kajistukia kutoa jicho.Mi pia kina binti aliolewa pale mtaani tunamjua tabia zake watu washakula jicho sana, sasa jamaa aliemuoa alikuwa ajui kama mkewe anatoa jicho ndo wana kumsanua bana sasa jamaa ni boya boya kaenda kwa mkewe kaomba ndogo bila kutumia prosijaz za kibaharia, mke kawaka isue ikafika adi kwa wazazi bana na ndoa ikavunjika sie wana kitaa tunacheka tu na tulijuwa yule binfi hawezi kaa ktk ndoa maana ni kicheche anatakroo hatari
Sijauliza jinsi/jinsia yako. WoiiiiMi ni mwanaume.
Unataka kutambikaa?Mchagga