Nikisikia mwanaume anaoa mwanamke fulani ninaye mjua kitaani kwetu huwa napata huruma kwa mwamba

Wana jukwaa wa MMU habarini?

Huwa sio siri kitaa nachokijua mimi kina watoto wakike fulani katika ukuaji wao mpaka sasa huwa baadhi yao ni ngumu kuja kuishi na wenza makini kwa maana ya wao kuingia kwenye mahusiano imara.

Juzi kati hapa kuna Me nimesikia anaoa ke fulani kitaani kwangu.
Me katokea zake huko namanyeee kaja huku ushuani kuopoa toto la kichagga, halo naona huruma kwa mwamba kwamba anatakiwa ajiandae kisaikolojia.......
Ukizingatia mwamba yuko kwenye system naona anavo lose goals....

Nitoe tu ushauri kama unaoa mbali fika unapofika ona benchi la ufundi wakupe mbili tatu kama unaweza oga maji au huwezi itakuwa kina kirefu.

Ogapa aina ya wanawake wanaotafuta ndoa na sio wao kutafutwa.....kuweni makini na hawa wasaka waume walio na maokoto......

mfano huyu mwamba anaye oa kitaa chetu akikata ringi (maokoto) lazima afe au akimbiwe na huyu demu na huyu demu ukiwa nacho wao wana asili ya kukill wabaki nazo....pole kwa mwamba na karibu kwetu uchaggani kwa wakwe.....
Uko sahihi.
 
Mi pia kina binti aliolewa pale mtaani tunamjua tabia zake watu washakula jicho sana, sasa jamaa aliemuoa alikuwa ajui kama mkewe anatoa jicho ndo wana kumsanua bana sasa jamaa ni boya boya kaenda kwa mkewe kaomba ndogo bila kutumia prosijaz za kibaharia, mke kawaka isue ikafika adi kwa wazazi bana na ndoa ikavunjika sie wana kitaa tunacheka tu na tulijuwa yule binfi hawezi kaa ktk ndoa maana ni kicheche anatakroo hatari
 
Mi pia kina binti aliolewa pale mtaani tunamjua tabia zake watu washakula jicho sana, sasa jamaa aliemuoa alikuwa ajui kama mkewe anatoa jicho ndo wana kumsanua bana sasa jamaa ni boya boya kaenda kwa mkewe kaomba ndogo bila kutumia prosijaz za kibaharia, mke kawaka isue ikafika adi kwa wazazi bana na ndoa ikavunjika sie wana kitaa tunacheka tu na tulijuwa yule binfi hawezi kaa ktk ndoa maana ni kicheche anatakroo hatari
Jamaa kadata balaa na demu kajistukia kutoa jicho.
 
Back
Top Bottom