Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,720
- 21,111
Ni mikoa gani ambayo mvua hizi hazinyeshi kwa hapa Tanzania?
Tujuzane!
Tujuzane!
Wamshukuru mungu kwa kuwanyima mvua siyo?Singida mafuriko wanayasikia mikoa mingine, ndio mkoa uliosalimika na athari za mvua hizi, na msimu unamalizika. Singida wamshukuru Mungu, mvua haijawahenyesha msimu huu unaopita
Wanaenda kuomba hifadhi ya muda hapo, hadi mvua itakapokoma.Madhara yake sasa View attachment 2974139
mvua wamepewa ila siyo ya majangaWamshukuru mungu kwa kuwanyima mvua siyo?
mvua wamepewa ila siyo ya majangaWamshukuru mungu kwa kuwanyima mvua siyo?
Tanga ni kidogo sanaNi mikoa gani ambayo mvua hizi hazinyeshi kwa hapa Tanzania?
Tujuzane!
Shinyanga, Tabora, Singida, Dodoma ni mikoa kame kweli kweliShinyanga sijawahi kusikia kuna mafuriko