TMA: Mikoa nane(8) kupata mvua kubwa leo usiku

Analog

Senior Member
Apr 4, 2024
180
395
Dar es Salaam, mamlaka ya hali ya hewa(TMA) imetoa tahadhari ama taarifa ya kwamba mikoa 8 itapata mvua kubwa leo usiku, mikoa hyo ni Dar es Salaam, morogoro, Unguja, Pemba, Pwani, Tanga, Lindi na Mtwara.

Ikumbukwe hapo awali mamlala ilishatabiri juu ya uwepo wa mvua kubwa kwenye mikoa 14...

Itaambatana na upepo mkali unaozid km 40 kwa saa na mawimbi yanayozidi mita 2 kwa mikoa iliyoambatana na bahari ya hindi ikiwemo Dar es salaam, tanga, lindi, mtwara na pwani.

Msemaji wa Serikali anasema mpaka kufika sasa vifo 19 vimetokea na mvua kubwa zinazoendelea mikoa mbalimbali.
 
Dar es Salaam, mamlaka ya hali ya hewa(TMA) imetoa tahadhari ama taarifa ya kwamba mikoa 8 itapata mvua kubwa leo usiku, mikoa hyo ni Dar es Salaam, Unguja, Pemba, Pwani, Tanga, Lindi na Mtwara.

Ikumbukwe hapo awali mamlala ilishatabiri juu ya uwepo wa mvua kubwa kwenye mikoa 14...

Itaambatana na upepo mkali unaozid km 40 kwa saa na mawimbi yanayozidi mita 2 kwa mikoa iliyoambatana na bahari ya hindi ikiwemo Dar es salaam, tanga, lindi, mtwara na pwani.

Msemaji wa Serikali anasema mpaka kufika sasa vifo 19 vimetokea na mvua kubwa zinazoendelea mikoa mbalimbali.
Umetaja mikoa saba.Wa nane ni upi?
 
Dar es Salaam, mamlaka ya hali ya hewa(TMA) imetoa tahadhari ama taarifa ya kwamba mikoa 8 itapata mvua kubwa leo usiku, mikoa hyo ni Dar es Salaam, morogoro, Unguja, Pemba, Pwani, Tanga, Lindi na Mtwara.

Ikumbukwe hapo awali mamlala ilishatabiri juu ya uwepo wa mvua kubwa kwenye mikoa 14...

Itaambatana na upepo mkali unaozid km 40 kwa saa na mawimbi yanayozidi mita 2 kwa mikoa iliyoambatana na bahari ya hindi ikiwemo Dar es salaam, tanga, lindi, mtwara na pwani.

Msemaji wa Serikali anasema mpaka kufika sasa vifo 19 vimetokea na mvua kubwa zinazoendelea mikoa mbalimbali.
tupeni mrejesho:
Tanga.... imenyesha kuanzia saa 12 asubuhi, si kubwa kihivyo ilivyotabiriwa, lakini inafaa kwa kilimo
 
Back
Top Bottom