Analog
Senior Member
- Apr 4, 2024
- 180
- 395
Dar es Salaam, mamlaka ya hali ya hewa(TMA) imetoa tahadhari ama taarifa ya kwamba mikoa 8 itapata mvua kubwa leo usiku, mikoa hyo ni Dar es Salaam, morogoro, Unguja, Pemba, Pwani, Tanga, Lindi na Mtwara.
Ikumbukwe hapo awali mamlala ilishatabiri juu ya uwepo wa mvua kubwa kwenye mikoa 14...
Itaambatana na upepo mkali unaozid km 40 kwa saa na mawimbi yanayozidi mita 2 kwa mikoa iliyoambatana na bahari ya hindi ikiwemo Dar es salaam, tanga, lindi, mtwara na pwani.
Msemaji wa Serikali anasema mpaka kufika sasa vifo 19 vimetokea na mvua kubwa zinazoendelea mikoa mbalimbali.
Ikumbukwe hapo awali mamlala ilishatabiri juu ya uwepo wa mvua kubwa kwenye mikoa 14...
Itaambatana na upepo mkali unaozid km 40 kwa saa na mawimbi yanayozidi mita 2 kwa mikoa iliyoambatana na bahari ya hindi ikiwemo Dar es salaam, tanga, lindi, mtwara na pwani.
Msemaji wa Serikali anasema mpaka kufika sasa vifo 19 vimetokea na mvua kubwa zinazoendelea mikoa mbalimbali.