Upo mtoto mzuriSehemu za pwani zote chukueni tafadhali please
Tunamshukuru sana mh. Sa100 kwa kutuletea hizi mvua. Hakika yeye ni msikivu sana.Sehemu za pwani zote chukueni tafadhali please
👌🤝CCM ni chukizo mbele za Bwana Mungu wetu.Watoke.
We jamaa haujali kuhusu mafuriko?Yaani titanic inazama wewe upo kwenye mahaba tu?SubhanAllah!Upo mtoto mzuri
🥴Tunamshukuru sana mh. Sa100 kwa kutuletea hizi mvua. Hakika yeye ni msikivu sana.
Nipo mkuu....Habari yakoUpo mtoto mzuri
Kweli kabisa, kipindi hiki mto Mzinga unajaa kweliSehemu za pwani zote chukueni tafadhali please
☹️ Aisee Mungu awateteeKweli kabisa, kipindi hiki mto Mzinga unajaa kweli
CCM na mvua vina uhusiano gani..??CCM ni chukizo mbele za Bwana Mungu wetu.Watoke.
Dah....hii coment imenichekesha sanaWe jamaa haujali kuhusu mafuriko?Yaani titanic inazama wewe upo kwenye mahaba tu?SubhanAllah!
Tunaomba Mungu atuepushie mbali.Wa Dsm mtakoma, maana nabii alishawaambia kabla kwamba muhame kabla ya mwezi Mei, 2024, hamtaki!
😊😊😊😊
Rabbon
AmenCCM ni chukizo mbele za Bwana Mungu wetu.Watoke.