Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,256
- 19,930
basi umefikiwa, nitaenda na wewe hivyohivyo we ni wa Arusha sioNdio ndio,nilifika asee
basi umefikiwa, nitaenda na wewe hivyohivyo we ni wa Arusha sioNdio ndio,nilifika asee
Hapana mzeebasi umefikiwa, nitaenda na wewe hivyohivyo we ni wa Arusha sio
ok apo sawa,basi tutaendelea na taratibu nyingine on next week bando si utakua nayo lakiniHapana mzee
😀😀 nna miaka 60 kabisa
Unaoa mtu aliye na mtot hakikisha Bab mtot amefariiki au amemuua wee mwenyewe na uoneshwe kaburi lake na cheti chake ukipateMimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.
Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.
Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
haya unipe terms and conditions😂Usichelewe sasa
Mtanange ni mkali 😃
Usijali mdogo wangu, utaudhuria sherehe yetu bila card ya mlangoni I promise you.I'm young dumb and broke😂
naomba nialikwe kwenye harusi, najua lazima atakua bilionea kutakua na mpunga wa kwenda😂
Utaudhulia❎-Utaudhuria✔️Usijari mdogo wangu, utaudhulia sherehe yetu bila Ccard ya mlangoni I promise you.
Utakuwa ulikisahau bweniniMkuu punguza umri kidogo,taja dini yako nije PM chap kwa haraka
Halafu elimu ya fom fo lazima niambatanishe na cheti?manake mie kiukweli nilimaliza fom fo lakini cheti sikupewa sijui kwanini
Kichwa cha habari unatafta mchumba , maelezo umesem unatafta rafiki any way .... vipi hapo kwwnye vigezo nikuongeze kimoja vipi ulihitaji TV flati U chogo usikidharau hicho kipengele ni muhimu sanaMimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.
Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.
Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
Asante kwa masahihisho yako brother.Utaudhulia❎-Utaudhuria✔️
Usijari❎-Usijali✔️
Tuishi Humo Mdogo Wangu!!!
Ameeenn!! Broo!!✊✊Asante kwa masahihisho yako brother.
Punguza ukali wa maneno, tunaitaItakuwa ulizungusha ndiyo maana hukupewa cheti
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Mimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.
Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.
Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje in