Millard Ayo amejifunza nini kwa kilichotokea kwa mfanyakazi wake mpiga picha kufariki

Sijui kwanini mifumo ya hosp haijaunganishwa na mifumo ya polisi. Ilitakiwa ukifika pale kama ni ajali unapokelewa unahudumiwa na pale pale hosp pawe na namna ya kuwapatia taarifa polisi kuwa tumepokea majeruhi, au Pale pale hosp getini kuwe na dawati maalum na polisi mmoja kwa ajili ya hayo mambo.
Ukiachana na hili la mfumo bado dharula yoyote inayohitaji matibabu inatakiwa ikimbizwe hospitali, mgonjwa atapatiwa huduma ya kwanza bila kujali ni raia mwema au jambazi kisha hospitali itawajibika kuwasiliana na polisi.

Hivyo emergency room zote zinapaswa kuwa na namba za wakuu wa vituo walio karibu nao.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ukiachana na hili la mfumo bado dharula yoyote inayohitaji matibabu inatakiwa ikimbizwe hospitali, mgonjwa atapatiwa huduma ya kwanza bila kujali ni raia mwema au jambazi kisha hospitali itawajibika kuwasiliana na polisi.

Hivyo emergency room zote zinapaswa kuwa na namba za wakuu wa vituo walio karibu nao.
Kweli.
 
Back
Top Bottom