Black Label
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 392
- 465
Mpiga picha wa AyoTV Kanda ya Ziwa Nellyson Grigery (alievaa shati la kijani) kafariki katika ajali ya gari iliyotokea Kibaha safarini Mwanza kuja Dar. Mwingine aliyefariki ni Mujitaba Yusuf (hayupo kwenye picha) huyu si mfanyakazi wa Ayo TV.
Kwenye ajali hio mwandishi wa AyoTV Kanda ya Ziwa (dullahtza) - alievaa t-shirt nyekundu amejeruhiwa na sasa anaendelea vizuri.
Kazi ya mwisho ya Nellyson ni kuchukua picha za video ya interview ya Mtoto wa miaka 9 anaemsaidia Bibi yake Mgonjwa iliipostiwa na Millard Ayo hivi karibuni.
Poleni Millard na wafiwa wote kwa msiba mzito.
Kwenye ajali hio mwandishi wa AyoTV Kanda ya Ziwa (dullahtza) - alievaa t-shirt nyekundu amejeruhiwa na sasa anaendelea vizuri.
Kazi ya mwisho ya Nellyson ni kuchukua picha za video ya interview ya Mtoto wa miaka 9 anaemsaidia Bibi yake Mgonjwa iliipostiwa na Millard Ayo hivi karibuni.
Poleni Millard na wafiwa wote kwa msiba mzito.