Millard Ayo amejifunza nini kwa kilichotokea kwa mfanyakazi wake mpiga picha kufariki

Ikiwa alikuwa hai hao bodaboda walishindwa kumuaisha Hosptali ?

Nadhani jambo la muhimu la kujifunza ni kuwa na precautions maana kazi ya kupiga picha ni nonstop job .

Alikuwa kama abiria au ni yeye mwenyewe alikuwa ana endesha chombo hicho?

Ni ngumu sana kumpeleka majeruhi hospital bila kuwahusisha Polisi. Kuna kuwa na urasimu mkubwa mno.
 
Alikuwa kama abiria au ni yeye mwenyewe alikuwa ana endesha chombo hicho?

Ni ngumu sana kumpeleka majeruhi hospital bila kuwahusisha Polisi. Kuna kuwa na urasimu mkubwa mno.


Sijafatilia kujua , ile nasikia alikuwa Kama Abiria.

Then hii sheria kuwa MTU akigongwa lazima aanzie police na sio hospitals inaonesha wazi Nchi yetu inaongozwa na watu wenye upeo duni wa kufikiri Sana

Ni vizuri police wapate taarifa ila waanzie hisptali kwanza .
 
Nimeangalia clip ikionyesha boda boda wakilalamika kuhusu kukosa msaada muda mrefu kwa majeruhi ambaye ni mpiga picha wa office ya millard ayo.

Mzee baba, sasa Ayo anahusikaje hapa kwa muhanga wa ajali kukosa msaada kwa muda mrefu?

Je, hili tatizo limemkuta marehemu kwa sababu ni mfanyakazi wa Ayo?

Je amejifunza nini kama nchi yake inaweza kurekebisha yale ambayo wale bodaboda wana lalamika kwenye tukio kuhusu msaada.

As long as tupo Afrika, iwe ni Ayo au hata sisi wenyewe hakuna kitachobadilika wala rekebishwa...

Huku Afrika hakuna viongozi wabeba maono, kuna watu wanaopata tu madaraka ili nao wapate kazi itayowasaidia kuendesha maisha yao...

Kitendo tu cha kufanya matumizi ya bodaboda kuwa usafiri wa umma, hiyo ni tiketi ya kwanza ya kukaribisha mauti kwa wananchi wako...
 
Hapo sioni kama Kuna kitu atajifunza zaidi nadhani anahangaika kutafuta replacement kwa Sasa
R.I.P mpiga picha mfumo wa huduma ya kwanza kwa nchi ni kama haupo kabisa
Kuna ntu hapo juu amejibu vyema kuwa apunguze uchawa kwa ccm
 
Bado maswali yanasimama,PF3 ni kero kwa anayepambania uhai,tayari mtu ni marehemu,malalamiko ya maiti kuachwa barabarani masaa 4 yanakosa mantiki kama majeruhi ilipatikana artenative haraka.
Maiti ya binadamu ina heshima yake
 
Nimeangalia clip ikionyesha boda boda wakilalamika kuhusu kukosa msaada muda mrefu kwa majeruhi ambaye ni mpiga picha wa office ya millard ayo.

Je amejifunza nini kama nchi yake inaweza kurekebisha yale ambayo wale bodaboda wana lalamika kwenye tukio kuhusu msaada.
Huyo ni chawa
 
Nimeangalia clip ikionyesha boda boda wakilalamika kuhusu kukosa msaada muda mrefu kwa majeruhi ambaye ni mpiga picha wa office ya millard ayo.

Je amejifunza nini kama nchi yake inaweza kurekebisha yale ambayo wale bodaboda wana lalamika kwenye tukio kuhusu msaada.
Umakini wa Mtu binafsi pale unapokuwa Safarini unahusiana vipi na Boss wako? Tanzania ina Watu Wapumbavu mno.
 
Nimeangalia clip ikionyesha boda boda wakilalamika kuhusu kukosa msaada muda mrefu kwa majeruhi ambaye ni mpiga picha wa office ya millard ayo.

Je amejifunza nini kama nchi yake inaweza kurekebisha yale ambayo wale bodaboda wana lalamika kwenye tukio kuhusu msaada.
Nachojiuliza Millard Ayo hua wanafika kwenye matukio mengi sana kwa wakati na pengine huwa wanafika kwenye eneo la tukio kabla ya tukio lenyewe(joking 😃).
Ilikuwaje Millard Ayo hawajafika mapema kutoa msaada kwa mfanyakazi wao?
May be pengine hawakuwa na taarifa.
 
Sijafatilia kujua , ile nasikia alikuwa Kama Abiria.

Then hii sheria kuwa MTU akigongwa lazima aanzie police na sio hospitals inaonesha wazi Nchi yetu inaongozwa na watu wenye upeo duni wa kufikiri Sana

Ni vizuri police wapate taarifa ila waanzie hisptali kwanza .
Sijui kwanini mifumo ya hosp haijaunganishwa na mifumo ya polisi. Ilitakiwa ukifika pale kama ni ajali unapokelewa unahudumiwa na pale pale hosp pawe na namna ya kuwapatia taarifa polisi kuwa tumepokea majeruhi, au Pale pale hosp getini kuwe na dawati maalum na polisi mmoja kwa ajili ya hayo mambo.
 
Inatakiwa ajifunze kuwa unapokwa na wafanya kazi usiwaweke mbali sana na mafanikio yako
Maana bila wao wewe utafeli, Kwa ukwasi wa Millard sikutegemea kuona mfayakazi wake wa karibu anatembea bodaboda.
Off course angeweza kupata ajali pia ila kwenye gari mara nyingi utafia kwenye gari na watu wanaolijua gari watalitambua kwa urahis.
 
Hapo sioni kama Kuna kitu atajifunza zaidi nadhani anahangaika kutafuta replacement kwa Sasa
R.I.P mpiga picha mfumo wa huduma ya kwanza kwa nchi ni kama haupo kabisa
Hivi haiwezekani kumpeleka Hospitali majeruhi wa ajali kabla ya Polisi kufika? Inaumiza sana. Nilimuona jamaa mmoja amegongwa na gari kule Igawa, jamaa amekaa muda mrefu barabarani hapelekwi Hospitali na analia kwa maumivu makali. Inasikitisha sana kwa kweli.
 
Sijui kwanini mifumo ya hosp haijaunganishwa na mifumo ya polisi. Ilitakiwa ukifika pale kama ni ajali unapokelewa unahudumiwa na pale pale hosp pawe na namna ya kuwapatia taarifa polisi kuwa tumepokea majeruhi, au Pale pale hosp getini kuwe na dawati maalum na polisi mmoja kwa ajili ya hayo mambo.


Ilibidi iwe kuwa hivyo lakini unfortunately haipo hivyo.

Ilibidi hosptalini ndo iwe sehemu ya kwanza MTU kwenda baada ya ajali.

Kila hospital ilibidi kuwa na utaratibu wa kupokea wagonjwa wa kawaida na wale wanokuja kutibiwa kutokana na Ajali.
 
Ilibidi iwe kuwa hivyo lakini unfortunately haipo hivyo.

Ilibidi hosptalini ndo iwe sehemu ya kwanza MTU kwenda baada ya ajali.

Kila hospital ilibidi kuwa na utaratibu wa kupokea wagonjwa wa kawaida na wale wanokuja kutibiwa kutokana na Ajali.
Upinzani nao unapuuza ajenda zenye maana kama hizi. Yaani yale mambo ambayo hata mtu asiuejua kusoma akisikia yanapiganiwa na yeye anaamka anapigana na wapiganaji maana yanamgusa moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom