Umesahau pilipili Ndio nimetoka sasa hv baada ya mechi ya yangaChukua kitunguu kanga na nyanya karoti na hoho unagongea na yai dakika kumi haziishi
Maharage ya jero 😃😃 mabachelor wanajulikana tu😃Dagaa wa kukaanga.. (Uduvi) pemben uwe na chumvi na pilipili ya kukata.
Hii mboga ni compatible na
1- UGALI
2- WALI
3- CHAPATI
4- MAANDAZI
unaweza pitia kwa mama ntilie maharage ya jero ukamwagia kwa juu ya wali na hao dagaa..
Utakula kilo 1 usipokuwa makini..
😅😅😅 ukila ktk kibanda unapewa na sukari..Maharage ya jero 😃😃 mabachelor wanajulikana tu😃
Maharage ya sukari? Najua hii inapatikana Dar pekee 😃😅😅😅 ukila ktk kibanda unapewa na sukari..
Mwez Mtukuf huu.. yapo yanauzw na tambi...Maharage ya sukari? Najua hii inapatikana Dar pekee 😃
Natamani nijue kitu zaidi hapa.Yeah haswa ukiwa na fridge lenye hali nzuri na ukawa na knowledge nzuri ya uhifadhi wa chakula. Btw mboga zikiungwa kadri zinavyokaa zinazidi kuwa tamu, spices get better with time.
Watu wanaolalamikia chakula kilichohifadhiwa ni either hawana mafridge bora au hawajui kuhifadhi vyakula vizuri vikabaki fresh.
Aowe mpishi?Si uoe na ww 😉
Uliza sweetheart.Natamani nijue kitu zaidi hapa.
We unaonaje?Aowe mpishi?
mboga yangu hiyougali na maziwa mtindi, siyo lazima kupika mboga
Amwajiri mpishi.We unaonaje?
Bila shaka washampa mwongozo