Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,442
- 106,145
Hii ngoma inaitwa "Mtaka cha uvunguni sharti ainame".Nife na njaa zangu tu, siwezi kujidhalilisha hivyo
Au "Pay the cost to be the boss".
Si unaona mwana alivyoibuka kidedea na mchongo wa kuanzia maisha ki Program Officer kwa kujishusha hapo?