GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,135
- 110,490
Kwa Maoni yangu GENTAMYCINE ( Rais wa Wapenzi wote wa Bendi ya Wenge Musica BCBG JamiiForums nzima ) japo niliumia sana kwa Bendi hii Kuvunjika na kila Mtu Kuunda Wenge Musica yake yaani JB Mpiana akibakia na Wenge BCBG, Werrason akibakia na Wenge Musica Maison Mere, Adolphe Dominguez akibakia akibakia na Wenge Tonya Tonya na BlaIse Bula ( Injinia wa Ndege ) kubakia na Wenge Musica Ponderation ila kuna niliyoyagundua ambayo ningependa Kushea nanyi na pia nanyi mseme yenu ili mradi tu Mjadala unoge na Sisi Wadau wa Muziki wa Congo DR hasa kwa Wapenzi wa Wenge Musica BCBG tuweze Kuelimika zaidi.
Hivi Wadau wangu bila ya hii Bendi Kuvunjika kule leo hii tungeona Ubunifu mkubwa wa Wanamuziki wa Congo DR? Je, Vipaji vipya vingeonekana kama ambavyo vinaonekana sasa baada ya kila Mtu Kuunda Kundi lake? Kwa mfano mnadhani Mghani / Rapa ( Kifaransa wanaitwa Animateur na Kilingala wanaitwa Atalakus) Hodari na Mahiri GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE angejulikana kama Wenge Musica BCBG iliyokuwa na Marapa ( Animateurs ) Wawili tu Wakubwa kama Roberto Wunda Enkokota na Mwalimu wa Maapa wote wa sasa Congo DR nzima Tutu Calugi Yombo Lumbu?
Je, mnadhani bila ya Kuvunjika kwa Bendi ya Wenge Musica BCBG leo hii Vijana wengi Congo DR wangepata Ajira zao Kubwa katika Bendi Kubwa Nne zenye Uzao wa Wenge BCBG na hata Kuajiriwa katika Bendi zingine Kubwa kama za akina Koffi Olomide, Extra Musica, Felix Wazekwa na Zaiko Langa Langa?
Kwangu Mimi naona huku Kuvunjika kwa hii Bendi na hata kwa Wanamuziki wengine Maarufu wa Bendi Kubwa na Wasanii Wakubwa kuamua Kujitoa na Kuanzisha Bendi zao kumesaidia Kutatua tatizo la Ajira lakini pia limeweza Kukuza Mapato yao na hata Uchumi kwani 97% ya Wanamuziki wa Bendi za Congo DR wao muda mwingi wanakuwa Ulaya, Marekani na Kwingineko Barani Afrika na Duniani wakipiga Muziki ( kwa Ziara ) hivyo kuwasaidia kuwapatia Vipato Vikubwa mno.
Taarifa ikufikie kuwa hakuna Mwanamuziki anayeimba na Bendi zozote Kubwa Congo DR au zenye Wasanii wakubwa ambaye ni Masikini. Kwa mfano Mshahara wa chini kabisa kwa hawa Wadada Wanenguaji wa Bendi Kubwa za Congo DR ni Shilingi Milioni Nne za Kitanzania huku wale Waimbaji wa hizi Bendi wengi Wao Mishahaa yao inaanzia Shilingi Milioni 6 hadi Milioni 8 za Kitanzania na ndiyo maana Koffi Olomide alivyokuwa akifanyiwa Interview na Mwanahabari Mmoja Mzungu huko Canada aliyemuuliza kwanini Wanenguaji wake wanapenda Kucheza wakiwa karibia Nusu Uchi Koffi Olomide wala hakumchelewesha kama ambavyo hata Mimi GENTAMYCINE huwa siwacheleweshagi Wajinga Wajnga na Wapumbavu hapa JamiiForums wakiingia katika 18 zangu ambapo alimjibu kuwa hawa Wanenguaji unaowaona hapa Mishahara yao ya kila Mwezi inaweza kuwa ndiyo Mshahara wako wa mwaka mzima katika hii Media uliyopo na baada ya hapo Yule Mwandishi akawa Mpole na kuuliza Maswali yenye Tija zaidi huku akiwa ameshika pia Adabu zake.
Hivyo basi tusiogope kuwa na Chetu hata kama tulikuwa tunapata kutoka katika Chetu Kimoja ili Wengine wapate Okay?
ANGALIZO
Kama unajua HUMPENDI GENTAMYCINE na Mada ( Threads ) zake hapa JamiiForums HUZIPENDI tafadhali nakushauri KIUSTAARABU tu acha KUZIFUNGUA, KUZISOMA na hata KUZICHANGIA badala yake nenda Kawasome tu wale MEMBERS wako UNAOWAKUBALI zaidi hapa na Mimi niachie wale MEMBERS wangu WANAONIELEWA KUTWA na hawana USWAHILI, UPUUZI, USHAMBA na UPUMBAVU wa KUTUKUKA kama ulionao.
Ukikaidi hili ANGALIZO langu usije KUNILAUMU kwa MAJIBU YANGU UMIZA ambayo NITAKUPOROMOSHEA pale tu UTAKAPOSHOBOKA nami kwa KUWASHWAWASHWA Kwako nami kama MNYAMA JIKE anayetaka KUPANDWA ( KUINGILIWA ) na MNYAMA DUME a.k.a GENTAMYCINE.
Nimemaliza.
Hivi Wadau wangu bila ya hii Bendi Kuvunjika kule leo hii tungeona Ubunifu mkubwa wa Wanamuziki wa Congo DR? Je, Vipaji vipya vingeonekana kama ambavyo vinaonekana sasa baada ya kila Mtu Kuunda Kundi lake? Kwa mfano mnadhani Mghani / Rapa ( Kifaransa wanaitwa Animateur na Kilingala wanaitwa Atalakus) Hodari na Mahiri GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE angejulikana kama Wenge Musica BCBG iliyokuwa na Marapa ( Animateurs ) Wawili tu Wakubwa kama Roberto Wunda Enkokota na Mwalimu wa Maapa wote wa sasa Congo DR nzima Tutu Calugi Yombo Lumbu?
Je, mnadhani bila ya Kuvunjika kwa Bendi ya Wenge Musica BCBG leo hii Vijana wengi Congo DR wangepata Ajira zao Kubwa katika Bendi Kubwa Nne zenye Uzao wa Wenge BCBG na hata Kuajiriwa katika Bendi zingine Kubwa kama za akina Koffi Olomide, Extra Musica, Felix Wazekwa na Zaiko Langa Langa?
Kwangu Mimi naona huku Kuvunjika kwa hii Bendi na hata kwa Wanamuziki wengine Maarufu wa Bendi Kubwa na Wasanii Wakubwa kuamua Kujitoa na Kuanzisha Bendi zao kumesaidia Kutatua tatizo la Ajira lakini pia limeweza Kukuza Mapato yao na hata Uchumi kwani 97% ya Wanamuziki wa Bendi za Congo DR wao muda mwingi wanakuwa Ulaya, Marekani na Kwingineko Barani Afrika na Duniani wakipiga Muziki ( kwa Ziara ) hivyo kuwasaidia kuwapatia Vipato Vikubwa mno.
Taarifa ikufikie kuwa hakuna Mwanamuziki anayeimba na Bendi zozote Kubwa Congo DR au zenye Wasanii wakubwa ambaye ni Masikini. Kwa mfano Mshahara wa chini kabisa kwa hawa Wadada Wanenguaji wa Bendi Kubwa za Congo DR ni Shilingi Milioni Nne za Kitanzania huku wale Waimbaji wa hizi Bendi wengi Wao Mishahaa yao inaanzia Shilingi Milioni 6 hadi Milioni 8 za Kitanzania na ndiyo maana Koffi Olomide alivyokuwa akifanyiwa Interview na Mwanahabari Mmoja Mzungu huko Canada aliyemuuliza kwanini Wanenguaji wake wanapenda Kucheza wakiwa karibia Nusu Uchi Koffi Olomide wala hakumchelewesha kama ambavyo hata Mimi GENTAMYCINE huwa siwacheleweshagi Wajinga Wajnga na Wapumbavu hapa JamiiForums wakiingia katika 18 zangu ambapo alimjibu kuwa hawa Wanenguaji unaowaona hapa Mishahara yao ya kila Mwezi inaweza kuwa ndiyo Mshahara wako wa mwaka mzima katika hii Media uliyopo na baada ya hapo Yule Mwandishi akawa Mpole na kuuliza Maswali yenye Tija zaidi huku akiwa ameshika pia Adabu zake.
Hivyo basi tusiogope kuwa na Chetu hata kama tulikuwa tunapata kutoka katika Chetu Kimoja ili Wengine wapate Okay?
ANGALIZO
Kama unajua HUMPENDI GENTAMYCINE na Mada ( Threads ) zake hapa JamiiForums HUZIPENDI tafadhali nakushauri KIUSTAARABU tu acha KUZIFUNGUA, KUZISOMA na hata KUZICHANGIA badala yake nenda Kawasome tu wale MEMBERS wako UNAOWAKUBALI zaidi hapa na Mimi niachie wale MEMBERS wangu WANAONIELEWA KUTWA na hawana USWAHILI, UPUUZI, USHAMBA na UPUMBAVU wa KUTUKUKA kama ulionao.
Ukikaidi hili ANGALIZO langu usije KUNILAUMU kwa MAJIBU YANGU UMIZA ambayo NITAKUPOROMOSHEA pale tu UTAKAPOSHOBOKA nami kwa KUWASHWAWASHWA Kwako nami kama MNYAMA JIKE anayetaka KUPANDWA ( KUINGILIWA ) na MNYAMA DUME a.k.a GENTAMYCINE.
Nimemaliza.