Kwa mwelekeo wa uchumi Tanzania 'Toyota Aqua' mbioni kudondosha soko la 'Toyota ist'

Aqua aka Prius C, nayo ni jamii ya Prius. Moja ya best selling hybrid worldwide.

Nimekaa na Prius 2010 kwa muda mfupi, aisee ile gari ikija issue ya fuel consumption ni topic nyingine.

Unaweza washa ikaondoka Ninja Mode kwa umbali ata wa 3 km. Yaani hapo full EV engine haijawaka.

Ilikua na modes tatu, kuna Eco, Sports na EV.

Battery likiwa limechaji vizuri, unapiga EV kwa muda mrefu kikubwa usiendeshe speed kali ukizidisha speed engine inawaka.

Turudi kwenye topic:

Kwa sasa Prius C aka Aqua ni Mil 17-20 pamoja na ushuru. Ukicheki bei haijatofautiana sana na IST.

Kwa bei ya wese, bora Aqua. Kwanza ni latest unapata 2011 kuja juu, na pili very economy na mwisho drives smooth.
 
Watu ni kutokujua tu na kuamua kuwa conservative lakin kwa maisha ya sasa tunayoendana nayo hybrid especialy aqua,prius ndio suluhisho.
Sasa kwa Tanzania kuna maajabu hadi mtu unasikitika...wakati ulimwengu unahamia kwenye gari za umeme kutoka mafuta sisi tume-divert kwenda gari za mitungi ya gas(lpg),sasa huwa sielewi hii akili tuliitoa wapi.
Prius+Aqua consumption ya not less than 100kms for 3.9/4 liters town trip kwa maisha ya kibongo una survive bila stress ni vile tu uelewa wetu bado.Lakin navyoona taratibu tutabadilika,hizi gari zinaenda kuwa deal.
Ningekuwa na mtaji wa like 100 to 150 milion ningefanya biashara ya kuleta hzi gari na nina uhakika ningefanya biashara.Mpaka wafanyabiashara wengine wakija kustuka ningekua nishatengeneza profit ya kutosha.
 
IMG_0826.jpeg
 
Back
Top Bottom