Kwa mwelekeo wa uchumi Tanzania 'Toyota Aqua' mbioni kudondosha soko la 'Toyota ist'

system hacker

JF-Expert Member
Mar 13, 2022
426
706
Aqua anaweza kukupa km 35 kwa lita 1. Toyota ist anaweza kukupa km 18 kama kajitahidi sana.

Aqua ni hybrid inatumia umeme mwingi. Toyota ist sio hybrid.

Miaka mingi sana ist alitawala soko akiwa kama central attacker huku vitz akitokea pembezoni mwa uwanja kama winga.

Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi pamoja na teknolojia ya magari namuona ist akipoteza nafasi yake na kuchukulia rasmi na Aqua.

One grave mistake ni kwamba bei sasa zinaanza kurandana rasmi kwenye 18m na kupanda juu kidogo.

Kumbukumbu zinaonyesha kwamba DSM sweetheart (Nissan Dualis) alianza harakati tangu zamani kidogo ku take over soko la 'sweetiest' lakini bahati mbaya alikutana na figisu vikali sana toka kwa mafundi wa kibongo; kidogo akapoteza mwelekeo.

Lakini, muda haugandi now Dualis kasimama rasmi soko na anaupiga mwingi vibaya sana.

Wale wawekezaji wa magari madogo take care this is a piece of shit in the market

Keep watching!
 
Hilo
Aqua anaweza kukupa km 35 kwa lita 1. Toyota ist anaweza kukupa km 18 kama kajitahidi sana.

Aqua ni hybrid inatumia umeme mwingi. Toyota ist sio hybrid.

Miaka mingi sana ist alitawala soko akiwa kama central attacker huku vitz akitokea pembezoni mwa uwanja kama winga.

Kutokana na mabadiliko ya kiuchumi pamoja na teknolojia ya magari namuona ist akipoteza nafasi yake na kuchukulia rasmi na Aqua.

One grave mistake ni kwamba bei sasa zinaanza kurandana rasmi kwenye 18m na kupanda juu kidogo.

Kumbukumbu zinaonyesha kwamba DSM sweetheart (Nissan Dualis) alianza harakati tangu zamani kidogo ku take over soko la 'sweetiest' lakini bahati mbaya alikutana na figisu vikali sana toka kwa mafundi wa kibongo; kidogo akapoteza mwelekeo.

Lakini, muda haugandi now Dualis kasimama rasmi soko na anaupiga mwingi vibaya sana.

Wale wawekezaji wa magari madogo take care this is a piece of shit in the market

Keep watching!

Moderator peleka jukwaa husika
Ndinga linanisave sana kila nikienda kwa wakwe zangu kagongwa kahama
 
Hapo sasa factor ya mafuta pekee haitoshi. Tunaangalia vitu kama durability kama rogh road inahimili, long journey, upatikanaji vipuri kiurahisi, n.k. Mada nzuri
Rough road sina uhakika........nadhani imekaa kimayai kidogo hata ipo chini kidogo kwenye ground clearance ukilinganisha na ist.........vipuri havina shida.........long journey sina uhakika.....
 
Mie natumia prius..napata km 30+ kwa City driving (yaan stop and go traffic ndo hybrid system ina enjoy) but high way driving km per litter inapungua kidogo kwakua engine inakua on muda mwingi unless utembee speed 60km kushuka chini..but still ni good numbers za matumizi ya mafuta maana hizi number huzipati kwa ist wala vitz su passo..
 
Mie natumia prius..napata km 30+ kwa City driving (yaan stop and go traffic ndo hybrid system ina enjoy) but high way driving km per litter inapungua kidogo kwakua engine inakua on muda mwingi unless utembee speed 60km kushuka chini..but still ni good numbers za matumizi ya mafuta maana hizi number huzipati kwa ist wala vitz su passo..
Exactly.....prius ni jamii moja na aqua sawa na ist walivyo na vitz.

Vipi mafundi wanazijulia au ndo hivyo tena tia maji tia maji
 
Mie natumia prius..napata km 30+ kwa City driving (yaan stop and go traffic ndo hybrid system ina enjoy) but high way driving km per litter inapungua kidogo kwakua engine inakua on muda mwingi unless utembee speed 60km kushuka chini..but still ni good numbers za matumizi ya mafuta maana hizi number huzipati kwa ist wala vitz su passo..
Hizi gari naona watu wameanza kuzipokea vizuri,nimeziona nyingi sana Mwanza
 
Exactly.....prius ni jamii moja na aqua sawa na ist walivyo na vitz.

Vipi mafundi wanazijulia au ndo hivyo tena tia maji tia maji
Fundi wa prius ni mie mwenyewe mkuu natengeneza mwenyewe gari yangu kwakua uwekewa wa hybrid cars na namna zinafanya kazi kww mafundi wetu wengi ni shida, but ukipenda kuna wajapan wana gereji yao pale ilala wanazitengeneza na kuuza spea zake ..issues za mabush,brake,shock absorber, bearings, tierod ends, ball joints, miguu, hata fundi wa kawaida anatenngeneza but kuna issues zake specific mfano abs yake, brake booster, inverter water pump.. na hybrid battery..but they are all simple to be replaced.

Chamsingi ukinunua hybrid car ujie hivi kati ya regular service ni pamoja na kubadirisha filter inayo inayo husiana na upozaji wa hybrid battery..hii filter inakaa kwenye fan iliyopo kwanyuma kwenye buti(hii ni for all prius, aqua/prius C) na nyingine pia feni ya kupoza hybrid battery zinakaa location nyingine..kwann nazunguzai hii filter..ni hivi joto kali huaribu/hupunuguza battery life ila pia baridi kali hupunguza charge holding capacity ya battery...sasa kwa mazingira yetu hatuna baridi la kuua battery but tuna joto, yes battery inapenda joto lakini lisizidi kiasi..so ili ku control temperature ya battery hua kunakua na feni ambayo inazunguka kupoza hybrid battery packs...sasa ile feni huwa inakua na filter, ile filter ikizibwa na uchafu basi ventilation hupungua nakufanya battery iwe inachemka sana..so prolonged exposure to high uncontrolled temperature ina punguza uhai wa battery na kufanya battery isumbue..but ukizingatia hii service battery ya hybrid lasts life ya gari.. kuna gari inafika km 500,000 with original battery...kumbuka hasa prius gen 2 ni very reliable and Durable car ambayo injini yake haifi wala gearbox kama gari nyingine. Na ipo less components that can go wrong jupo ni very complicated how hybrid system works.. but ukizijua ni gari rahisi kutengeneza kuliko normal cars.
 
Sa si Bora mnunue toyo
Prius inakuja na injini ya 1NZ FXE...yenye hp 77 na electric motor ya hp 40...so with this inaenda speed mpaka 60kmh huku engine ipo off .so fuel consumption ni nzuri karibu na toyo mkuu..yet bado ni gari na ipo na function zote za gari ya kawaida but only drive train ndo tofauti...

Kwenye foleni unakuka kipupwe bila kula mafuta,,betri ndo inafanya kazi..chaji ikipungua sana, utasikia automatically engine inawaka kucharge battery kama sekunde 30 then inazima huku wewe unakula unyunyu..huwazi mafuta..kiufupi full taki nakata mwezi mzima bila kuongeza mafuta(hasa kama unafanya purse and glide driving technique..ambapo hapa gari inaenda km30+ kwa lita moja).

So Endelea kuenjoy gari lako linalotumia mafuta mengi mkuu so long as pesa unayo mkuu.
 
Prius inakuja na injini ya 1NZ FXE...yenye hp 77 na electric motor ya hp 40...so with this inaenda speed mpaka 60kmh huku engine ipo off .so fuel consumption ni nzuri karibu na toyo mkuu..yet bado ni gari na ipo na function zote za gari ya kawaida but only drive train ndo tofauti...

Kwenye foleni unakuka kipupwe bila kula mafuta,,betri ndo inafanya kazi..chaji ikipungua sana, utasikia automatically engine inawaka kucharge battery kama sekunde 30 then inazima huku wewe unakula unyunyu..huwazi mafuta..kiufupi full taki nakata mwezi mzima bila kuongeza mafuta(hasa kama unafanya purse and glide driving technique..ambapo hapa gari inaenda km30+ kwa lita moja).

So Endelea kuenjoy gari lako linalotumia mafuta mengi mkuu so long as pesa unayo mkuu.
Comfort + power + E suspension unaeza adjust height ya gari kwa kubofya tu ...raha nazopata kwenye Prado j150 2019 huwezi pata kwenye aqua

Enjoy your life
 
Back
Top Bottom