Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Yawezekana una implement uliyoyasoma so muda unaanza kubana mkuu,si unajua siku ina masaa 24 tu so kila unapooongeza mambo ya muhimu basi siku inapungua urefu relatively!!!!!

Sasa hapo ni u turn point acha mengi yasiyo tija ili ku accommodate mabadiliko chanya!!!!
Ikiwezekana punguza masaa ya kulala kwa siku japo tatu in a week!!!!

Yeah mkuu mambo yanakuwa mengi ila ntajihid niweke kilasiku lisaa usiku nisoma bila hivyo ukipoteza mood hukawii kuacha kusoma kabisa
 
Sowing the mustard seed-YOWERI M7

AUTOBIAGRAPHY YA HILARY CLINTON-DAH MKITABU ULIKUWA UNANIKESESHA MAKTABA.

THE SHACKLED CONTINET,AFRICA PAST,NOW AND FUTURE.

SHAKES HANDS WITH DEVIL-
ROMEO DALLAIRE(HOW UN FAILED TO STOP RWANDA'S GENOCIDE
 
View attachment 153768
THINK BIG ni miongoni mwa vitabu vilivyowahi kunivutia. Story yake inaonyesha jinsi ambavyo Hakuna Mtu ambaye hana uwezo. Kutoka Kuwa mtu wa mwisho darasani hadi kuwa daktari bingwa duniani mwenye kuheshimiwa. Prinsciples za kawaida tu ambazo zilitumiwa na mama asiyejua elimu. akifanya kazi kama HOUSEGIRL kwenye nyumba za matajiri aliwawezesha vijana wake wawili mmoja kuwa Engineer na mwingine kuwa Daktari bingwa duniani.

Talent: Our Creator has endowed all of us not just with the ability to sing, dance or throw a ball, but with intellectual talent. Start getting in touch with that part of you that is intellectual and develop that, and think of careers that will allow you to use that.

Honesty: If you lead a clean and honest life, you don't put skeletons in the closet. If you put skeletons in the closet, they definitely will come back just when you don't want to see them and ruin your life.

Insight: It comes from people who have already gone where you're trying to go. Learn from their triumphs and their mistakes.

Nice: If you're nice to people, then once they get over the suspicion of why you're being nice, they will be nice to you.

Knowledge: It makes you into a more valuable person. The more knowledge you have, the more people need you. It's an interesting phenomenon, but when people need you, they pay you, so you'll be okay in life.

Books: They are the mechanism for obtaining knowledge, as opposed to television.

In-Depth Learning: Learn for the sake of knowledge and understanding, rather than for the sake of impressing people or taking a test.

God: Never get too big for Him.

Thats my favourite book of all time.

kuna quotation inasema "To be of use in the world is the only way to happyness"
Niliipenda sana hii
 
Unyayo wa Mwalimu Nyerere-N.Ng'wanalilala(Former TBC Boss.

Morons.Thugs and journalism in Africa,(unleashing the democratic power of the silent majority)-N.Ngw'anakilala.
Mapinduzi au Uhaini wa Kijeshi.J.M.M Kamala.

Laana ya azimio la ARUSHA
 
Am generally a reader of so many things...and kwa kiasi kikubwa vinanisaidia sana kuishi nnavyotaka,..but kwa uchache
7 habits of highly successful people by stephen covey
art of war-author sun tzu hiki still in progress
48 laws of power bila shaka kitakuwa kizuri pia
advice:soma vitabu upate maarifa
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadhalia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu. yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma,kimitazamo, kiimani, kimwili, mausihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia. unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

yebhe mseza mkulu iwe uliwaluganda ki?
 
Back
Top Bottom