chox05
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 230
- 90
Yawezekana una implement uliyoyasoma so muda unaanza kubana mkuu,si unajua siku ina masaa 24 tu so kila unapooongeza mambo ya muhimu basi siku inapungua urefu relatively!!!!!
Sasa hapo ni u turn point acha mengi yasiyo tija ili ku accommodate mabadiliko chanya!!!!
Ikiwezekana punguza masaa ya kulala kwa siku japo tatu in a week!!!!
Yeah mkuu mambo yanakuwa mengi ila ntajihid niweke kilasiku lisaa usiku nisoma bila hivyo ukipoteza mood hukawii kuacha kusoma kabisa