hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 861
- 2,050
Wakuu habari,
Kwanini watu waliowahi kufanya makubwa hawakufanikisha hayo kupitia kusoma vitabu.
Unakuta mtu anasoma kitabu cha How to influence people lakini hadi anakimaliza hana influence yoyote.
Mtu anaandika kitabu cha how to get rich fast afu pesa ya kuchapisha hicho kitabu amekopa.
Kiufupi nawaza hivi , huenda watu wengi wanaopenda kusoma vitabu huwa ni kwa lengo la kujifariji tu.
Ila mwalimu mzuri wa maisha yako ni uzoefu wako mwenyewe.
Kusoma vitabu ni sawa na kujaribu kujifunza kupitia maisha ya watu wengine huku ukijua maisha ya mwanadamu hayajirudii.
Kitabu kimewahi kubadilisha maisha yako kwa kiasi gani.
Kwanini watu waliowahi kufanya makubwa hawakufanikisha hayo kupitia kusoma vitabu.
Unakuta mtu anasoma kitabu cha How to influence people lakini hadi anakimaliza hana influence yoyote.
Mtu anaandika kitabu cha how to get rich fast afu pesa ya kuchapisha hicho kitabu amekopa.
Kiufupi nawaza hivi , huenda watu wengi wanaopenda kusoma vitabu huwa ni kwa lengo la kujifariji tu.
Ila mwalimu mzuri wa maisha yako ni uzoefu wako mwenyewe.
Kusoma vitabu ni sawa na kujaribu kujifunza kupitia maisha ya watu wengine huku ukijua maisha ya mwanadamu hayajirudii.
Kitabu kimewahi kubadilisha maisha yako kwa kiasi gani.