mtoto mdogo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 501
- 130
- Thread starter
- #61
Hajakuacha bila sababu, anasababu zake sema wewe ndio hujazijua ni sababu gan kakuacha.
Znaweza Kua N Zp
Hajakuacha bila sababu, anasababu zake sema wewe ndio hujazijua ni sababu gan kakuacha.
Hahahahahaha Sasa Me Cio Mkadhi
Hiyo theory ya kusubiriana mi siwezi. Pole sana, wenzio walikuwa wanakula kwa chumvi akati ww unasubir aive.
Mpeleke kwa Baba Askofu. Nyie si ndio wale wenye kutubu kwa binadamu wenzenu.
Kwa sana tena, ndo atajua hii ni Bongo na sio Mumbai..........HahahaMdosi umeshaanza kumuingiza mjini?
Nafanya Kaz Sisomi
Habarini za leo, poleni na majukumu.
Kuna post nilishaweka hapa inasema "mpenzi wangu hataki nimfuatilie mambo yake", juzi kanitamkia wazi wazi kua hanitaki tena. Kinachoniuma ni kwamba, pesa nilikua nampa. Lakini sijapata chochote kwake, tuliwekeana kua tutasubiriana hadi ndoa. Yani sijui nimfanyeje.
Loh jamani humu jamvini kuna watu wana maneno loh!
Weka picha yako na yake tulinganishe.
hata kichwa hujawahi kuingiza ??????
Habarini za leo, poleni na majukumu.
Kuna post nilishaweka hapa inasema "mpenzi wangu hataki nimfuatilie mambo yake", juzi kanitamkia wazi wazi kua hanitaki tena. Kinachoniuma ni kwamba, pesa nilikua nampa. Lakini sijapata chochote kwake, tuliwekeana kua tutasubiriana hadi ndoa. Yani sijui nimfanyeje.