Kaniacha bila sababu

Kha? Nyota njema inaonekanaga asubuhi...we umejidanganya eti saa saba mchana itaonekana!! Hahahah kulaaleki.
 
Habarini za leo, poleni na majukumu.

Kuna post nilishaweka hapa inasema "Mpenzi Wangu Hataki Nimfuatilie Mambo Yake", Juzi Kanitamkia Wazi Wazi Kua Hanitaki Tena. Kinachoniuma Ni Kwamba, Pesa Nilikua Nampa But Cjapata Chochote Kwake, Tuliwekeana Kua Tutasubiriana Hadi Ndoa. Yaani Sijui Nimfanyeje.

aisee...kweli we mtoto mdogo. Pole msamehe...
 
pesa utoe, mahindi uchomeshwe eti ndoa mmh hapo wenzio utakuta wanajitafunia tu pole
 
kila kilicho chako utakipata hata nani afanye nini

na kila kisicho chako hutakipata hata ufanye nini
 
Habarini za leo, poleni na majukumu.

Kuna post nilishaweka hapa inasema "Mpenzi Wangu Hataki Nimfuatilie Mambo Yake", Juzi Kanitamkia Wazi Wazi Kua Hanitaki Tena. Kinachoniuma Ni Kwamba, Pesa Nilikua Nampa But Cjapata Chochote Kwake, Tuliwekeana Kua Tutasubiriana Hadi Ndoa. Yaani Sijui Nimfanyeje.

kwani mlikuwa mnafanya biashara ya mapenzi? unaweza kutumia mkataba mlioandikiana kumshtaki akurejeshee shekeli zako.
 
Hahahahahaha lol!!!! Heshima zako Mkuu tpaul.

kwani mlikuwa mnafanya biashara ya mapenzi? unaweza kutumia mkataba mlioandikiana kumshtaki akurejeshee shekeli zako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom