finance2014
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 314
- 79
Loh jamani humu jamvini kuna watu wana maneno loh!
Sana tu
Loh jamani humu jamvini kuna watu wana maneno loh!
Loh humu ndani aiseeh kunafurahisha jamani!
Shukuru amekuacha na biqra yako!
Habarini za leo, poleni na majukumu.
Kuna post nilishaweka hapa inasema "Mpenzi Wangu Hataki Nimfuatilie Mambo Yake", Juzi Kanitamkia Wazi Wazi Kua Hanitaki Tena. Kinachoniuma Ni Kwamba, Pesa Nilikua Nampa But Cjapata Chochote Kwake, Tuliwekeana Kua Tutasubiriana Hadi Ndoa. Yaani Sijui Nimfanyeje.
Diuh pole...kakuingiza mjini ahahha
Habarini za leo, poleni na majukumu.
Kuna post nilishaweka hapa inasema "Mpenzi Wangu Hataki Nimfuatilie Mambo Yake", Juzi Kanitamkia Wazi Wazi Kua Hanitaki Tena. Kinachoniuma Ni Kwamba, Pesa Nilikua Nampa But Cjapata Chochote Kwake, Tuliwekeana Kua Tutasubiriana Hadi Ndoa. Yaani Sijui Nimfanyeje.