Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,626
- 55,527
Nipo na shangazi yako kwa miaka 21.Nakupa "kapiriansee"/expiriance mkuu.Ndoa siyo maigizo.This is for real,my hommie!Naenjoy sana mimi labda nyie mnafeli kwa kusikiliza maneno ya watu kua huyo sio wako tena ,
kama ipo ipo tu kikubwa mawasiliano tu yawe safi na kuacha kusikiliza maneno ya watu kama yaliwatokea wao , wewe rekebisha yasikutokee, , ,