Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,191
- 2,655
The best moment naipataga Niki enda home aisee ๐ค.
Ni kukaa mezani kusubiri maajabu ya mpishi๐.
Usije nigombanisha na majirani zangu, akati wao wa kishua, mi jobless pro max tu ๐
The best moment naipataga Niki enda home aisee ๐ค.
Ni kukaa mezani kusubiri maajabu ya mpishi๐.
Usije nigombanisha na majirani zangu, akati wao wa kishua, mi jobless pro max tu ๐
Aisee uko vizuri hiyo nyama Sasa ndo balaa Hadi njaa imeniuma ๐Ntakuwa nakufuatilia ingawa huwa najitungia tu mimi mradi kitu kiive View attachment 2948495View attachment 2948496
Nimekaa naliangalia tu nasubiri kipenga ๐ ๐คฃAisee uko vizuri hiyo nyama Sasa ndo balaa Hadi njaa imeniuma ๐
โI knowโ you are one of the best when it comes to doing your magic in the kitchen.Aaliyyah nimeshangaa tu tui la nazi. Zaidi ya hapo, nimeishia kutamani ๐คค ๐คค
Safi kabisa na pilipili kwenye kachumbari Kwa mbaliHapo ni kuongeza Makachumbari au Vipi Kipenzi Liyahh huwaga Yana maugwadu na manakshinakshi kwenye wali mchafu+juisi kokteili ya Parachichi,,,nanasi na embe ya bariidii๐๐๐
Nistiri!๐คฃ๐คฃ๐คฃWaja mmeanza
๐ accepted!! โบ๏ธโI knowโ you are one of the best when it comes to doing your magic in the kitchen.
Accept my flowers ๐.
๐ด๐ด๐๐โโโSafi kabisa na pilipili kwenye kachumbari Kwa mbali
Natania, shangazi yangu mzuri๐คUnaninyanyasa ๐
au una taka kuja kupika wewe๐ค๐Ili ule pilau kwanza
Siwezi siwezi.......Mi sipendi dharau, manyanyaso ๐ค๐๐
Jodari au Sansuri shoo?Hongera uko vizuri mm birian nilijaribu mara moja tu
Pilau ndo nalionea napika Hadi la samaki ๐
Karibu sana Lilikuwa tamu sana kwakweli
๐คฃ๐คฃ๐คฃBora ugali dagaa kwenye amani.
Kuliko pilau nazi vitani.
Intelligent businessman
๐๐๐๐๐๐
Hapo ningeongeza zabibu kavu baaaaasii