Chakula kinavutiaAbsolutely delectable!
Kwa vile sijui kupika pilau, chicken biryani is the next best thing .
View attachment 2948407
Ni raha sana Mimi sina hiyo bahat akiniona ndio anaanza matashitit mara pika hiki mara hiki😀The best moment naipataga Niki enda home aisee 🤓.
Ni kukaa mezani kusubiri maajabu ya mpishi😂.
Usije nigombanisha na majirani zangu, akati wao wa kishua, mi jobless pro max tu 😂
Napenda sana mapishi ingawa najialika mwenyewe 😄 🤣 😂Hongera sana kumbe nawe uko vizuri sana
Kwakweli ni tamu kweli
I feel guilty! 😂Dah Haina jinsi, maana usije tupikia tambi zilizo simama🤓
Ni raha sana kupika kitu unachotamani kula mwenyew hat kama kikatoka ndivyo sivyoNapenda sana mapishi ingawa najialika mwenyewe 😄 🤣 😂
Sio mzuri hivyo bali huwa najaribu ila tamu
Leo kuna marinated steak nataka nikaichome sasa hivi kabla ya Ftari
Tamaa tu hamna lolote 😄
Unajua njaa tena
Yes, biriani najua kupika za aina nyingi tu….vegetable biriani, chicken birian, shrimp biriani, beef biriani, goat biriani, nk.Chakula kinavutia
Unaweza kupika chicken birian?
Hongera uko vizuri mm birian nilijaribu mara moja tuYes, biriani najua kupika za aina nyingi tu….vegetable biriani, chicken birian, shrimp biriani, beef biriani, goat biriani, nk.
Niliwahi kujifunza kupika pilau, nikapika mara kadhaa halafu nikaacha. Nimeshahau sasa.
Itabidi nianze tena kufanya mazoezi ya kulipika.
Hilo la kwako limetokelezea kweli kweli. Natamani niingie ndani ya screen nichote hata vijiko viwili nionje 😀.
😄 🤣 😂 😆 😄Ni raha sana kupika kitu unachotamani kula mwenyew hat kama kikatoka ndivyo sivyo
Nakumbuka nilipika vile viaz vya kusaga unachanganya na mayai kwakweli nilitoa Boko 😂😂😂😂nikawa najisifia kinafki mwenyew 🤣🤣
ila nawe shangazi uji tahidi basi, yaani Hadi chakula Cha familia tuka tafute mpishi🤓😂I feel guilty! 😂
ila nawe shangazi uji tahidi basi, yaani Hadi chakula Cha familia tuka tafute mpishi🤓😂I feel guilty! 😂
Worry out, ngoja pasaka ipite 🤓😂Nataka niwasalimie majirani zako 🤣🤣
Ntakuwa nakufuatilia ingawa huwa najitungia tu mimi mradi kitu kiive
Duuu,linatamanisha balaaNatumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu
Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze
MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu
3)kitunguumaji,kata kata wastani
4)kitunguu swaumu kilichosagwa4)viaz mviringo vya wastani vitano.
5)pilaumasala
6)mafuta ya kupikia.
7)Tui la Nazi kulingana na mchele wako
8)iriki na binzari nyembamba,(Huwa natumia Ile halisi ili kuongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula)
JINSI YA KUPIKA
1)bandika sufuria jikoni weka mafuta ya kula kidogo sana kwaajili ya kukaanga kitunguu tu yakipata moto weka kitunguu maji kaanga kikianza kulegea na kubadilika rang weka kitunguu swaumu kaanga hadi viwe rangi ya brown
2) Weka pilau masala pamoja na binzari nyembamba na iriki changanya kidogo
Kisha weka Viazi na nyama
3) Changanya Kwa dakika 3 Kisha weka Tui la Nazi kiasi kulingana na mchele wako weka chumvi koroga uchanganye vizuri kisha acha Tui lichemke
4) Vikichemka weka mchele wako koroga uchanganye funika subiri ukauke
5) Ukishakauka punguza moto acha kidogo Kisha utageuza utaacha Tena kidogouive vizuri, pilau itakuwa tayari
Kinachofata ni kuandaa kachumbari na soda 😄😍😍
Karibuni Kwa nyongeza na maoni
View attachment 2948308
View attachment 2948310
Unaninyanyasa 😔ila nawe shangazi uji tahidi basi, yaani Hadi chakula Cha familia tuka tafute mpishi🤓😂