Nawajua nimeishi nao kama majirani zangu na kuna muda fulani niliwahi kuwa kwenye mahusiano nao, simshauri mtu mwenye fine life trajectory kuwa na mwanamke wa kizaramo .they'll simply derail your plans. unless na mwanaume uwe ni mtu usiyejali chochote .Umeelezea vizuri sana chifu
Uchagani kwa wapalestinaKwa jamii zetu za kitanzania ni suala la kawaida Kwa wazazi wetu kukushauri masuala ya future especially ndoa .........Kwa kukuambia makabila ya kuoa/ kuolewa nayo ...ukiachana na wale wa kishua ambao huambiwa waolewe na watoto wa matajiri wenzao
Kwetu sisi tuliambiwa hatutakiwi kuoa jamii za kaskazini especially wachaga Kwasababu Fulani Fulani kuwa ulipata Mali basi ndo ticket Yako ya kwenda ahera madukani
But ukweli ni kuwa broo alioa mchaga ....wanapesa na bado huyu mke wake anakubalika sana huku ukweni Kwa sababu ya kindness kubwa alionayo ......????
NB: zakuambiwa changanya na zako
Je ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?View attachment 2712595
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Subiri wenye kabila lao watajitokeza
Uhai pekee ndo hauletwi na pesa tanzania. Amani, upendo, furaha, afya hivyo vyote pesa huvileta. Hata hamu ya kula unaipata tu ukiwa na pesaTasfiri isiyo rasmi ya picha
Pesa haiwezi nunua Kila kitu
Au
Siyo Kila kitu huletwa na pesa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kabila lina nguvu juu ya Tabia ya mtu labda tu mtu mwenyewe amejidisconnet na tabia za kabila lakeMke mwema ni mwenye tabia njema, heshima na upendo. Kabila, sijui nini na nini uchawi hayanaga umaana.
Wazalamo nawaogopaHivi Pana mzalamo alieyezeeka na ndoa moja
Hayo mambo ya "piteni kikuga" kuzungukia ndani. Wenyewe wanasema "usijifanye za mtonga maji ya dafu kuoshea donda"Kuna kabila linasisitiza mafiga matatu
Nina demu wa kipare ila sioni red light.. mkuu hebu eleza kidogo usikute ana hide mavitu huyu la mama.Wapare sio kabisa..Tena sitaki hata kuwasikia.
Vipi kuhusu majina na tabia.Kabila lina nguvu juu ya Tabia ya mtu labda tu mtu mwenyewe amejidisconnet na tabia za kabila lake
😅🤣Hayo mambo ya "piteni kikuga" kuzungukia ndani. Wenyewe wanasema "usijifanye za mtonga maji ya dafu kuoshea donda"
Wazaramo oyeeee!
Huyu Mhutu wa Burundi tuseme ndo Muha wahapa.Nisiolewe na kabila ambalo ni la GENTAMYCIME maana akili zake azijakaa sawa
Kabila langu hili.Wanyakyusa