Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,983
24,616
Kulingana na Uzi uliopostiwa humu Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?

huu ni mrejesho wa maoni ya wanajf walio share makabila magumu / tata kwenye ndoa

Based on experiences Kwa walio na waliowahi kuingia ndoani

1. Waha ...
Hawa ndugu zetu walitajwa sana na Wana jf ....wabishi + ushirikina heavyweight

2. Wapare
Pia walitajwa sana kuwa ni complicated sana kwenye ndoa

3. Chaga ( wamachame )
Pia wametajwa sana ....wababe sio Kwa wanaume tu .....hata wanawake

4.wanyakyusa
Japo tumeonewa ....tupo social sana

5. Wadigo

6 wamakonde

7. wakurya
Kupiga + mahasira kama yote

8. Wazaramo
Uswahili mwingi Hadi Kwa wazee

9. Wagogo
Wavivu ...... hawapendi Maendeleo but kuomba sana

10. wasukuma
Watu wema sana .....wanaupendo sana, ukarimu, wachapa kazi ila ... tatizo lao Moja kubwa.......wanaabudu sana ushirikina

IMG-20230806-WA0000.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kulingana na Uzi uliopostiwa humu Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?

huu ni mrejesho wa maoni ya wanajf walio share makabila magumu / tata kwenye ndoa

Based on experiences Kwa walio na waliowahi kuingia ndoani

1. Waha ...
Hawa ndugu zetu walitajwa sana na Wana jf

2. Wapare
Pia walitajwa sana kuwa ni complicated sana kwenye ndoa

3. Chaga ( wamachame )
Pia wametajwa sana

4.wanyakyusa
Japo tumeonewa ....tupo social sana

5. Wagogo

6 wamakonde

View attachment 2716977

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Bila kuwatajataja watu wa kaskazini hampati raha kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulingana na Uzi uliopostiwa humu Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?

huu ni mrejesho wa maoni ya wanajf walio share makabila magumu / tata kwenye ndoa

Based on experiences Kwa walio na waliowahi kuingia ndoani

1. Waha ...
Hawa ndugu zetu walitajwa sana na Wana jf ....wabishi + ushirikina heavyweight

2. Wapare
Pia walitajwa sana kuwa ni complicated sana kwenye ndoa

3. Chaga ( wamachame )
Pia wametajwa sana ....wababe sio Kwa wanaume tu .....hata wanawake

4.wanyakyusa
Japo tumeonewa ....tupo social sana

5. Wadigo

6 wamakonde

7. wakurya
Kupiga + mahasira kama yote

8. Wazaramo
Uswahili mwingi Hadi Kwa wazee

9. Wagogo
Wavivu ...... hawapendi Maendeleo but kuomba sana

10. wasukuma
Watu wema sana .....wanaupendo sana, ukarimu, wachapa kazi ila ... tatizo lao Moja kubwa.......wanaabudu sana ushirikina

View attachment 2716977

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
we kafanye kazi achana na mambo ya makabila, kwanza hakuna ukweli unaandika porojo tu
 
Back
Top Bottom