Ulibahatika mkuuNiliaswa sana kuhusu
Wakinga - wachawi
Wanayakyusa - wababe
Makabila ya kaskazini - wabinafsi, wasio na mapenzi wanajali mali
Cha ajabu Mungu fundi bwana, nimeoa mdada wa arusha ni mpole mnyenyekevu ana upendo, sio mchoyo wala hana mambo mengi. Na ni mzuri kwelikweli
Yani hata ahera wakisema nichague mke ntachagua mama chanja wangu jamani
Haya mambo ya mapenzi weka pembeni sjui makabila sjui nini. Cha msingi mnapendana mnaheshimiana na mna chemistry basi inatosha.
Nlidate na wa kabila langu wote tulishindwana
Tasfiri isiyo rasmi ya pichaKwa mujibu wa picha huo ni uongo
Ndio mkuu
Maana yake nnKuna kabila linasisitiza mafiga matatu
Uswahili, heshimaless, ushirikina, akili zilizolala (hawana akili za maendeleo)
Mwendee na kilo ya nyamaWaswahili sana Hawa watu, kaka yangu kaoa mzaramo Mimi ninamiaka sasa sijawahi kanyaga pale chanika😃😃 ni mchoyo mbeya hapendi ndugu ila kwa virungu ni hajambo
Hawa wote ni watani wa jadi wanafananaHata nisingeambiwa ila mzaramo, mkwere, mndengereko, mluguru, mpogoro..nk hata nisingeambiwa..
..BTW hatuna ukabila so....!
Vikoba +shuhuli=virunguWaswahili sana Hawa watu, kaka yangu kaoa mzaramo Mimi ninamiaka sasa sijawahi kanyaga pale chanika😃😃 ni mchoyo mbeya hapendi ndugu ila kwa virungu ni hajambo
Wazaramo ni package ya tofauti kabisa yaani hata wao kwa wao kuoana ni ngumu.🤣🤣🤣 Sijawahi kuona mtu wa bara akafurahia ndoa na Mzaramo au Mndengereko. Bora waoane wenyewe
Umeelezea vizuri sana chifuWazaramo ni package ya tofauti kabisa yaani hata. Wao kwa wao kuoana ni ngumu.
Inataka moyo sana kuishi na mwanamke wa kizaramo , ngoma na shughuli kila siku halafu ni wanawake ambao hawana heshima kwa mwanaume na pia hwanana misimamo binafsi kuhusiana na maisha yao , anaweza kuwa kwenye ndoa au mahusiano lakini control ipo kwa mashosti au ndugu zake .
Ngumu sana kuishi na mwanamke wa kizarano wanakujaga kujitambua wakiwa na umri mkubwa sana wameshachoka mbaya
Hata mtoto wa Prof. Benno Ndullu au Dr. Daud Balali au Dr. Likwelile?Hata nisingeambiwa ila mzaramo, mkwere, mndengereko, mluguru, mpogoro..nk hata nisingeambiwa..
..BTW hatuna ukabila so....!