Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,369
- 1,871
Sio kweli -Hakuna.Na kuna wakristo bongo meno yote nje wakifurahia kuuawa kwa watoto/Raia wasio na hatia
Sio kweli -Hakuna.Na kuna wakristo bongo meno yote nje wakifurahia kuuawa kwa watoto/Raia wasio na hatia
Israel ukiwatoa West ni mbwa aliyenyolewaNaomba ukweli tu ndio usemwe nani mwenye uwezo wa kimedani Kati ya mahasimu hawa wawili kati ya muyahudi na waajemi. Kuna watu wanapenda mambo ya medani japo vita ni kuzimu(hell) ila ni hulka ya binadamu kujipa uhalali kiuwezo na kiplopaganda. Israel alianza kutoa mapigo kisha akajibiwa je nani mwenye military edge kumuwin mwenzake? Religion sympathy sio mahala pake hapa I want only facts to spoken.
Umeingiza ugonjwa uitwao kobazWaajemi wapo mbele kwa lolote lile hata ranking za wazungu, hao waisrael wana mushkeri maana sio wale wa mwanzo waliokuwa wanapigwa na Hitler.
Naona mpakwa mafuta umekuja juu, hawa wakati wanachomwa kama mishkaki na Hitler hawakuwa na nguvu za kupigana? juzi tu hapa mwaka 45 vita ya pili ,walikuwa hawana uwezo .Umeingiza ugonjwa uitwao kobaz
Asema KhomeneiNaona mpakwa mafuta umekuja juu, hawa wakati wanachomwa kama mishkaki na Hitler hawakuwa na nguvu za kupigana? juzi tu hapa mwaka 45 vita ya pili ,walikuwa hawana uwezo .
Kiufupi hawana historia yoyote ile zaidi ya porojo ,muajemi ni mbishi tangu mnara wa babeli ....Ufananishe na hao wazee wa kubebwa.
Eti hao wanyonge ,wakina Netanyau ni mpoland ...Wale wenyewe hawana uwezo wwote 🤣🤣🤣Asema Khomenei
Sawa AyatolahEti hao wanyonge ,wakina Netanyau ni mpoland ...Wale wenyewe hawana uwezo wwote 🤣🤣🤣
Kwani aliyeoa kitoto cha miaka sita anasemaje?Naona mpakwa mafuta umekuja juu, hawa wakati wanachomwa kama mishkaki na Hitler hawakuwa na nguvu za kupigana? juzi tu hapa mwaka 45 vita ya pili ,walikuwa hawana uwezo .
Kiufupi hawana historia yoyote ile zaidi ya porojo ,muajemi ni mbishi tangu mnara wa babeli ....Ufananishe na hao wazee wa kubebwa.
Hata wewe unajua ,huo ndio ukweli🤣🤣Sawa Ayatolah
Mpakwa mafuta tulia.!!🤣🤣Kwani aliyeoa kitoto cha miaka sita anasemaje?
Sio kweli -Hakuna.
Hizo mbwembwe zipo Afrika kwa wapumbavu.Comrade Hitler aliwanyoosha kisawa Sawa,mpaka leo wakisikia Wanazi wanakumbuka yaliyo wakuta kwenye zile kambi.
Israel kama israel hana uwezo wa kupigana na iran ila uhalisia ni kwamba atayekuja kupigana vita ya israel ni marekani na washirika wakeUS yenyewe inaigopa Iran ikiwa Ma Al Hout wa Yemen kawakimbia iwe Iran.
US labda akapige nuclear tu ndio atamshinda Iran, lakini Iran mwendo anao kwenda nao kwenye kutengeneza silaha, US atie maji kichwani karibu atanyolewa huko huko ndani ya US.
Nahisi kama napuliziwa matakoniMpakwa mafuta tulia.!!🤣🤣
Wala siwachukii Waislam hata kidogo na sifurahii kuuawa kwa mtu yeyote awe mtoto, wanawake, wanaume, Waislam au Makafir. Kila mtu ana Haki ya kuishi - tena aishi kwa amani na upendo.Lazima utasema sio ukweli kwa sababu ya chuki zako kwa waislamu