Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

Mzee Israel co wakristo! Nenda wikipidia cheki dini zilizopo Israel
1 Judaism
2 Islamic
Ndoo zinafuata taka nyingine.... Kwa kifupi wale ni ndugu wanapigana. And that is civil war

Hawana undugu wowote, wale ni makafiri na Wapalestina ni waislamu. So hawawezi kuwa ndugu, laanatullah alayhim
 
Israel is ahead of Iran kwenye izo anga. Juzi amezuiwa tu na Marekani kwasababu marekani aliogopa iran itafunga mlango wake wa bahari na uchumi ungeenda kuwa shida. walichofanya ni kupiga rada za kinu chao cha Nukes pekee ili asiweze kabisa kuwarushia makombora ya nuclear. Ndege zilizoenda kupiga huko unaambiwa hazikuonekana hata iran ilikiri kwamba hawajajua ni nani kapiga hadi sasaivi, manake radar za iran hazikuiona. kama ukiwa na uwezo huo manake unaweza kuamua kupiga mtu bila yeye kukujua.

Pia, marekani ana uwezo mkubwa sana kiteknolojia kumzidi hata urusi. kama unakumbuka siku mrusi anaenda kupiga ukraine, marekani alishatangaza kuwa siku fulani ndio imepangwa kwenda kupiga, na siku iran anapiga marekani ilishatangaza kua siku fulani iran atapiga. tuseme urusi aliitaarifu marekani siku anayoanza vita ukraine? tuseme iran aliitaarifu marekani? ni wanakusoma hapohapo ulipo

kuna siri kubwa sana, aidha kuogopa vita vya baridi kuanza upya kwa urusi na china kuungana na iran ili kuishambulia marekani, au kuna kitu cha siri, kwasababu kwa tulivyozoea na tunavyoijua marekani, haiwezi kushambuliwa na nchi kama iran ikanyamaza kimya, lazima kuna mchezo waliusoma wa urusi na china. Unakumbuka Iran aliishambulia marekani kwenye kambi zake za iran siku ile alipoua kamanda wao suleiman? hivyo hata juzi wamemzuia Israel asifanye kitu kitakachoamsha vita mpya ambayo nadhani kwa ustawi wa dunia marekani hataki kabisa ije kwasababu ameshawasoma hao wenzake china na urusi wanachomuwazia.

Na iran naye nadhani ana busara, kambi zake iraq na syria zimechakazwa, na radar yake ya nukes imechakazwa, akaona hapa naweza kula hasara akasema mapema kabisa kwamba hata kama tumepigwa hatutarudisha kisasi. tuseme Iran ameogopa nini? ati Iran aseme hata kama Israel amerusha chochote sisi hatutarudisha kisasi? tuseme walikubaliana na marekani israel naye arushe kitu ili ionekane israel hajashindwa? na iran akakubali? tangu lini marekani na iran ni marafiki? since revolution iran na marekani hawapendani, nini kiliwafanya wanyamaze juzi, walipigwa mkwara gani hadi wakaamua kuufyata? waliambiwa ukirudishia tutaingia na tutakufumua. possibly.

all in all, Marekani inasemekana ni taifa la kifreemason, kuna wakati naamini kwasababu ushoga na dhambi za ajabuajabu zimezidi mno marekani, shetan asingewaacha lazima angekaa kwenye kiti cha ili arun dunia.
Israel walilenga kulipua kinu cha nuclear Isfahan ila walifeli.
Iraq hakuna kambi za Iran bali kuna kambi za wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran,ni sawa ulipue kambi za Hizbollah Lebanon.
Syria kambi zilizopigwa ni za Al Quds fighters wanaosapotiwa na Iran sio za Iran.
Angekua kaguswa Iran pasingekalika kimya.
Shambulio la Israel drone 3 na kombora moja vimedunguliwa utasemaje havikuonekana!?
Walichodai Iran hawakujua wapi shambulio linatoka ila interception wamefanya.
 
Vipi Putin nae kashindwa maana miaka inayeyuka sasa au mnasemaje watumwa?
Unajitoa ufahamu kuwa Ukraine anasaidiwa na NATO kifedha,kisilaha na kijeshi!?
Au ushasahau kuwa Russia anapigana na NATO pale Ukraine!?
 
Israel walilenga kulipua kinu cha nuclear Isfahan ila walifeli.
Iraq hakuna kambi za Iran bali kuna kambi za wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran,ni sawa ulipue kambi za Hizbollah Lebanon.
Syria kambi zilizopigwa ni za Al Quds fighters wanaosapotiwa na Iran sio za Iran.
Angekua kaguswa Iran pasingekalika kimya.
Shambulio la Israel drone 3 na kombora moja vimedunguliwa utasemaje havikuonekana!?
Walichodai Iran hawakujua wapi shambulio linatoka ila interception wamefanya.
sio rahisi kulenga kulipua kitu cha nukes ndugu, ukilipua madhara yake ni makubwa sana kwa binadamu na marekani alishasema israel asifanye hivyo. yote katika yote wanajuana wao wenyewe.
 
sio rahisi kulenga kulipua kitu cha nukes ndugu, ukilipua madhara yake ni makubwa sana kwa binadamu na marekani alishasema israel asifanye hivyo. yote katika yote wanajuana wao wenyewe.
Kwani Israel ana hasara gani Iran wakiathirika na mionzi ya nuclear?
Kwani USA alipata hasara gani Japan walivyoathiriwa na nuke!?
Israel tishio lake kubwa ni Iran kumiliki nukes.
Ndio maana miaka nenda rudi amekua akihujumu vinu vya nuke vya Iran.
 
Kwani Israel ana hasara gani Iran wakiathirika na mionzi ya nuclear?
Kwani USA alipata hasara gani Japan walivyoathiriwa na nuke!?
Israel tishio lake kubwa ni Iran kumiliki nukes.
Ndio maana miaka nenda rudi amekua akihujumu vinu vya nuke vya Iran.
issue ya mionzi ya nuklia ni issue ya dunia, kamuuliza marekeni anajilaumu hadi leo mionzi aliyosababisha hiroshima na nagasaki, wanaoumia ni raia wa kawaida, wala sio wanajeshi. umakini mkuba sana unahitajika kulipua kinu hicho ili kisilete madhara kwa raia ukahukumiwa na dunia nzima.
 
issue ya mionzi ya nuklia ni issue ya dunia, kamuuliza marekeni anajilaumu hadi leo mionzi aliyosababisha hiroshima na nagasaki, wanaoumia ni raia wa kawaida, wala sio wanajeshi. umakini mkuba sana unahitajika kulipua kinu hicho ili kisilete madhara kwa raia ukahukumiwa na dunia nzima.
Una uhakika USA anajuta!?
Kama USA anajuta kwanini Marshall islands USA inafanya majaribio ya nukes na biological weapons!?
Je Marshall island sio watu!?
 
Major hapo Israel imeonyesha mfano na wenye uelewa wameelewa. Iran imerusha makombora na drones 330 hivi, madhara yaliyoonekana ni madogo sawa na hamna. Mechi zilichezwa viwanjani, ndege ziliruka kwenye airports, kazi ziliendelea maofisini na viwandani.

Waisraeli wakafanya advertisement ya uwezo wao. Wakaweka air corridor Syria (kwa kulazimisha sio kwa kuomba). Wakaenda Iraq wakapenya anga, wakafika mpakani wakaachia air launched ballistic missiles zikaenda deep into Iranian territory na kushambulia air defense system asset ya kinu cha nyuklia na kufanya damage. Hilo ni tangazo kwamba uwezo tunao msitujaribu.

Kwenye hatua za kushambulia vinu vya kinyuklia, Iran na Israel zinajua hatua ya kwanza ni kushambulia air defense systems zake. Then ndio sites zishambuliwe, Israel imefanya hivyo bila kujulikana wameona matokeo tu.
 
Major hapo Israel imeonyesha mfano na wenye uelewa wameelewa. Iran imerusha makombora na drones 330 hivi, madhara yaliyoonekana ni madogo sawa na hamna. Mechi zilichezwa viwanjani, ndege ziliruka kwenye airports, kazi ziliendelea maofisini na viwandani.

Waisraeli wakafanya advertisement ya uwezo wao. Wakaweka air corridor Syria (kwa kulazimisha sio kwa kuomba). Wakaenda Iraq wakapenya anga, wakafika mpakani wakaachia air launched ballistic missiles zikaenda deep into Iranian territory na kushambulia air defense system asset ya kinu cha nyuklia na kufanya damage. Hilo ni tangazo kwamba uwezo tunao msitujaribu.

Kwenye hatua za kushambulia vinu vya kinyuklia, Iran na Israel zinajua hatua ya kwanza ni kushambulia air defense systems zake. Then ndio sites zishambuliwe, Israel imefanya hivyo bila kujulikana wameona matokeo tu.
Umeamua tu kuonyesha mahaba ila ile shughuli haikuwa ya kitoto .hata usa analijua hilo ni sawa na mtu kupapsa makalion mke wako licha ya ulinzi uliojiwekee. Haya mabomu yalipenya defence ngapi ndo yakafika huko
 
Major hapo Israel imeonyesha mfano na wenye uelewa wameelewa. Iran imerusha makombora na drones 330 hivi, madhara yaliyoonekana ni madogo sawa na hamna. Mechi zilichezwa viwanjani, ndege ziliruka kwenye airports, kazi ziliendelea maofisini na viwandani.

Waisraeli wakafanya advertisement ya uwezo wao. Wakaweka air corridor Syria (kwa kulazimisha sio kwa kuomba). Wakaenda Iraq wakapenya anga, wakafika mpakani wakaachia air launched ballistic missiles zikaenda deep into Iranian territory na kushambulia air defense system asset ya kinu cha nyuklia na kufanya damage. Hilo ni tangazo kwamba uwezo tunao msitujaribu.

Kwenye hatua za kushambulia vinu vya kinyuklia, Iran na Israel zinajua hatua ya kwanza ni kushambulia air defense systems zake. Then ndio sites zishambuliwe, Israel imefanya hivyo bila kujulikana wameona matokeo tu.
Umeamua tu kuonyesha mahaba ila ile shughuli haikuwa ya kitoto .hata usa analijua hilo ni sawa na mtu kupapsa makalion mke wako licha ya ulinzi uliojiwekee. Haya mabomu yalipenya defence ngapi ndo yakafika hu
 
Back
Top Bottom