Ila wanaume tuna shida, hali ya kuomba namba na kunyimwa ni mfadhaiko mkubwa sana

Mfano iwe club, beach, kwenye usafiri, popote pale, siwezi mshobokea mwanamke hata kama awe mzuri kama cleopatra.. baada ya salaam kama inafaa kumsalimia(mfano nimemkuta kwenye siti ya usafiri baada ya hapo ni buyu, labda anizungumzishe yeye, akinichangamkia basi nami namchangamkia 2 times, ila akipiga buyu mie napiga buyu la millenium.)
Nimekuelewa mkuu.
 
Siku nyingine jifanye simu haina chaji halafu chukua noti ya 10k andika namba yako hapo kisha mpe hiyo noti na mwambie akupigie. ASIPOKUPIGIA wala kukutafuta ndani ya wiki uje nikupeleke kwa Mzee Chinyama pembeni ya Ziwa Tanganyika uondoe nuksi.
Htr
 
Rafiki yangu mmoja husema hutakiwi kubembeleza kuwa na mwanamke kwa sababu unabembeleza mtu aje akupige vizinga akutegemee kama baba yake. Yaani unamlazimisha akubali kutumia pesa zako.
Kabisa mzee ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š bora ununue tu mzgo kumiliki mwanamke n cost sana..
 
Find the best version of you Mzee, Watu tunaumia sana kujiboresha ndo maana mambo kama hayo shida yetuโ€ฆ Namba inatoka na pisi inaondoka ikiomba uitafute muda huohuo alafu ndo hivyo unakuta watu wenyewe tunasahau kwa sababu tuna uhakika wa wengine wengi
 
Mambo madogo na yakawaida sana hayo. Ukisema uumie utaumia mara ngapi?
Pisi ikinikazia namba mbona fresh sana, ni maamuzi yake yaheshimiwe.

Binafsi napenda ninyimwe namba na bidada ambae tutaendelea kukutana na kuonana mara kwa mara. Sitomuomba tena ila atavutika tu na kujikuta akijenga ukaribu zaidi na kuhitaji mawasiliano. And from zea it is over anko (in chenjeu voice)
 
Mishe zingine kuchoreshana tu, hv tuseme umekutana na manzi mara ya kwanza unataka namba....ukipewa unaanza kumsumbua mtoto wa watu "nambie"
๐Ÿ˜‚ siwezi hizo mambo, mara ya mwisho nilisafiri dar to dom nlikaa na pisi moja nyeupe shombe fulani hivi(huwa sivutiwi na ke weupe) tulisalimiana mwanzo wa safari. Baadae aliniomba simu aandike namba za vocha katumiwa, sikutaka kumkatisha nikampa akaandika baada ya kumaliza nikamuelekeza namna ya kucopy na kupaste kama njia rahisi basi akafurahi huyo akanichangamkia sana mpaka tunafika sikuwaza hata habari za namba.
 
๐Ÿ˜‚ siwezi hizo mambo, mara ya mwisho nilisafiri dar to dom nlikaa na pisi moja nyeupe shombe fulani hivi(huwa sivutiwi na ke weupe) tulisalimiana mwanzo wa safari. Baadae aliniomba simu aandike namba za vocha katumiwa, sikutaka kumkatisha nikampa akaandika baada ya kumaliza nikamuelekeza namna ya kucopy na kupaste kama njia rahisi basi akafurahi huyo akanichangamkia sana mpaka tunafika sikuwaza hata habari za namba.
Hao wenyewe wa kudaka namba ovyo hata kumdate inakua kipengele na ukimdate jua uko na pombe ya ngomani๐Ÿ˜kila anayefika anatoa wenge
 
Poleni. Kuna mmoja alinitukana matusi ya nguoni kisa nimemnyima namba. Kuna wengine nimegeuka maadui zao hawanisalimii kabisa kisa niliwanyima mawasiliano. Unapohitaji kitu tarajia mambo mawili kupata ama kukosa, ukijua hili hata katika maisha mengine huwezi pata tabu.
 
Wee ni liongoo sana, mxxxxiiiiiieeeew
Hadi vidampaaa wanakukataaa, huoni aibu?.
Kelele wewe...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mwenzako yupo lockup ya miezi sita bado wewe...
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Jiandae kupokea wine sis ASAP
 
Poleni. Kuna mmoja alinitukana matusi ya nguoni kisa nimemnyima namba. Kuna wengine nimegeuka maadui zao hawanisalimii kabisa kisa niliwanyima mawasiliano. Unapohitaji kitu tarajia mambo mawili kupata ama kukosa, ukijua hili hata katika maisha mengine huwezi pata tabu.
Hata ningekutukana tuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yaaan kwanini uninyime
 
Back
Top Bottom