cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,184
- 140,139
Sawa endeleeni
Sawa endeleeni
unaniiga nn sasa?Wanasema nakuiga...
Jamaa ako jau sanaunaniiga nn sasa?
Mengine ni kumshukuru mungu t huwez jua kakurpushia na nn .Wakuu habari za Jumapili,
Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha msichana unamuomba namba halafu anakunyima, daa inaleta stress sana ila basi tu.
Nimepata kitu hapaMkuu hauko attractive, mwanaume hanyimwi namba. Zingatia muonekano wako kabla haujasimamisha duu, kingine usiombe namba b4 hujajenga emotional connection, lazima kuwe na kitu kitakachomfanya aendeleze maongezi na wewe kwa njia ya simu. Mwisho zingatia confidence yako ukiwa unafanya vyote hivyo.
Ana kituNimepata kitu hapa
mkuuMengine ni kumshukuru mungu t huwez jua kakurpushia na nn .
Sio kila ukionacho ukipate kuna mungu pia😂😂😂
Mtusamehege beKwasababu mtu analazimishaaa sana yaan anaomba namba ka deni basi tunakupa alafu tunablock