Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,215
- 4,163
Mwenzenu kila nikiwaza mboga ya kula siku hiyo napata tabu sana, yaani natumia muda mrefu sana kuwaza mboga na wakati mwingine nakosa najikuta kila nayowaza nimekula siku za karibu.
Yaani kujua mbga ya kupika kwa upande wangu ni tatizo sana natamani hata ningekuwa naambiwa tu pika mboga hii leo kesho pika hii.
Je, na wewe unakutana na changamoto kama yangu.
Yaani kujua mbga ya kupika kwa upande wangu ni tatizo sana natamani hata ningekuwa naambiwa tu pika mboga hii leo kesho pika hii.
Je, na wewe unakutana na changamoto kama yangu.