CHADEMA kukosa neno, utawala wa Sheria Migomo Marekani; ni Pigo kwa Chama, na pia kwa Ukombozi!

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
28,134
36,127
1. Kwamba kinachoendelea Marekani ni jitihada za Serikali ya huko kupinga haki ya watu kujieleza?!

IMG_20240501_165342.jpg


2. Kutokuheshimiwa huku kwa wazi kwa misingi ya kawaida kabisa ya utawala wa sheria, ni wa kulaaniwa vilivyo na kila mtu na hasa mtanzania aliye mzalendo.

IMG_20240501_165416~2.jpg


3. Kwamba CHADEMA chama tegemeo kwa ukombozi wa nchi hii kipo kimya?! Siku yakiwakuta kwenye harakati za ukombozi kama ilivyokuwa enzi za "nabii jiwe," kwa hakika mkale mliko peleka mboga!

IMG_20240501_165522~2.jpg


4. Vipi ghafla kutaka kuwa popo? Haki ni haki tu!

IMG_20240501_165620.jpg


Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

Za wapalestina nazo ni haki kama zilivyo za waandamanaji!

5. Haki za wanyonge ni haki za kupiganiwa na kila mwenye akili timamu:

IMG_1567.jpg


6. Kulikoni kutaka kuchanganya mambo? Mnyonge ni yeyote adhulumiwaye na awaye yote aliye na nguvu (kupitiliza) zaidi; za musuli!

7. Kwenye dunia iliyostaarabika hushindanishwa hoja si misuli! Labda kwenye ndondi tu!

8. Mashindano ya musuli, ni kwa wanyama mwituni huko.

9. Heko wamarekani na wote mliotokea kuzipinga dhulma hizi za wazi za waisrael na mabwana zao. Wenye kujitambua tuko nanyi; tuko na Palestina!

10. Viva resistance; viva Palestine; viva HAMAS!

Aluta Continua!
______

NB; screenshot zote isipokuwa ya Mandela ni kutoka kwenye andiko moja kumnukuu mtu huyo huyo mmoja.
 
Hivi Chadema si waliandika barua ya "malalamiko " na wakaikabidhi UN?Mbona hawawapi wanachama wao mrejesho?Wamejibiwa nini?UN imechukua hatua gani?Kuishi kwa kiki ni hatari sana.
 
Kwanza hayo maandamano inaonesha huyaelewi.

Kuna makundi mawili. Moja linashambulia jingine na kuingilia haki zao.

Kama ingekuwa ni kwenye vyuo vikuu vya Afrika ama ukomunistini, leo maelfu wangekuwa Marehemu au kupata vilema vya kudumu.

Halafu mbona mada Moja unaiandikia mada kibao. Au unahisi hujaeleweka!!??
 
1714574443226.png

Anayeongea haya maneno umemuelewa!?

Amekuza lakini ameelezea ukweli halisi wa huko kwingine yaani Moscow au Tehran!!
 
Hivi Chadema si waliandika barua ya "malalamiko " na wakaikabidhi UN?Mbona hawawapi wanachama wao mrejesho?Wamejibiwa nini?UN imechukua hatua gani?Kuishi kwa kiki ni hatari sana.
Unafuatilia habari wewe au ni mmoja wa wale wasoma magazeti ya Shigongo? Kuna fedha zimepigwa panga, japo mtu kama wewe unaweza usione uhusiano wa moja kwa moja. Jambo jingine: Kwenye diplomasia kuna mambo mengi yanafanyika background.
 
Unafuatilia habari wewe au ni mmoja wa wale wasoma magazeti ya Shigongo? Kuna fedha zimepigwa panga, japo mtu kama wewe unaweza usione uhusiano wa moja kwa moja. Jambo jingine: Kwenye diplomasia kuna mambo mengi yanafanyika background.
Endelea kujifariji.Hizo ni ndoto za Ali Nacha. Hakuna chombo chochote cha UN kinaweza kufanya bila uamuzi wa General Assembly au Security Council.
Wadanganye wavimba macho wenzako.
 
Endelea kujifariji.Hizo ni ndoto za Ali Nacha. Hakuna chombo chochote cha UN kinaweza kufanya bila uamuzi wa General Assembly au Security Council.
Wadanganye wavimba macho wenzako.
Da. Uelewa wako ni mdogo kabisa. Maskini umekariri vile vikao vya General Assembly na Security counsel. Kukosa exposure na kusoma shule za kata ni janga. Wewe unadhani UN inafanya kazi kwa kutegema hivi vikao viwili tu? Nimelewa bila kunywa.
 
Da. Uelewa wako ni mdogo kabisa. Maskini umekariri vile vikao vya General Assembly na Security counsel. Kukosa exposure na kusoma shule za kata ni janga. Wewe unadhani UN9 inafanya kazi kwa kutegema hivi vikao viwili tu? Nimelewa bila kunywa.
Sanctions haziamuliwi kiholela wewe mvimba macho.Zinaamuliwa kwa vikao sio uniletarely.Uelewa wako wa kuiewekea Nchi sanctions ni mdogo sana.Tuwekee maamuzi unayodai yamefanyika baada ya malalamiko kukabidhiwa kwenye ofisi za UN.
Ndio maana hujui hata tofauti ya counsel na council.Hamna chombo cha UN kinaitwa Security Counsel. Vikao viwili ndio nini?Nani kakuambia kuna vikao viwili?Unajua hata maana ya kikao?
 
Sanctions haziamuliwi kiholela wewe mvimba macho.Zinaamuliwa kwa vikao sio uniletarely.Uelewa wako wa kuiewekea Nchi sanctions ni mdogo sana.Tuwekee maamuzi unayodai yamefanyika baada ya malalamiko kukabidhiwa kwenye ofisi za UN.
Ndio maana hujui hata tofauti ya counsel na council.Hamna chombo cha UN kinaitwa Security Counsel. Vikao viwili ndio nini?Nani kakuambia kuna vikao viwili?Unajua hata maana ya kikao?
UN's job is not solely to impose sanctions, mvia macho! Do you think, all conflicts are resolved through sanctions alone! Sanctions are a very extreme measure, and before that, there are efforts made behind the scenes to rectify things. You are stupid like your president!
 
Kwanza hayo maandamano inaonesha huyaelewi.

Kuna makundi mawili. Moja linashambulia jingine na kuingilia haki zao.

Kama ingekuwa ni kwenye vyuo vikuu vya Afrika ama ukomunistini, leo maelfu wangekuwa Marehemu au kupata vilema vya kudumu.

Halafu mbona mada Moja unaiandikia mada kibao. Au unahisi hujaeleweka!!??

1. Huu si ndiyo ule unaoitwa "umbumbumbu ujuaji wenyewe sasa?

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg


Kwani wewe ni mwisraeli wa pale Buza?!

2. Kwani kamanda wako kisiki, Lissu anasema je kuhusu mgogoro huu?

3. Kuwa ujishashe wewe kuujua mgogoro huu kuliko nani ndugu mbumbumbu mjuaji?

"Si walisema Kila mdada kwenye kioo huona yeye ni miss world?!"

4. Si uiweke japo CV yako hapa basi, tuuone ubobevu wako ndugu?

4. Uliwahi kuuliza pia kwa nini naandika sana kuhusu Lissu. Kwani kipimo cha kuandika ni mara ngapi ndugu na si yule uliyemtaka?

Kwamba ni wale mlioangaziwa humu?

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

5. Vipi au ni wale wenye kumchukia kutokea kwenye ranks wenye kujidhania hawavumi ila wamo?

6. Si hawavumi na hawamo nayo imo? Hadi uambiwe hadharani na watoto wadogo kuona?

Bure kabisa!
 
View attachment 2978335
Anayeongea haya maneno umemuelewa!?

Amekuza lakini ameelezea ukweli halisi wa huko kwingine yaani Moscow au Tehran!!

1. Ulielewa hizo screen capture zote ni za mtu mmoja kwenye andiko moja?

2. Umbumbumbu ujuaji unakuhisu sana ndugu:

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

3. hIvi umeishia darasa la ngapi ndugu?

4. "Umbumbumbu ujuaji" ni laana! Pole lakini.
 
UN's job is not solely to impose sanctions, mvia macho! Do you think, all conflicts are resolved through sanctions alone! Sanctions are a very extreme measure, and before that, there are efforts made behind the scenes to rectify things. You are stupid like your president!
Nani aliyesema UN's jobb is solely to impose sanctions?
Hoja ilikuwa kwamba Tanzania imechukuliwa hatua baada ya barua ya Chadema.Ukadai una ushahidi weka huo ushahidi.
Mtu mwenyewe hujui hata tofauti ya counsel na council ndio maana unamtukana hata asiyehusika na huu mjadala.
Wewe ni mjinga tu unayejifaragua kujifanya unajua huku hujui.Weka ushahidi wa madai yako.
Wisdom is chasing you but you are always faster. Dundee United.
 
Nani aliyesema UN's jobb is solely to impose sanctions?
Hoja ilikuwa kwamba Tanzania imechukuliwa hatua baada ya barua ya Chadema.Ukadai una ushahidi weka huo ushahidi.
Mtu mwenyewe hujui hata tofauti ya counsel na council ndio maana unamtukana hata asiyehusika na huu mjadala.
Wewe ni mjinga tu unayejifaragua kujifanya unajua huku hujui.Weka ushahidi wa madai yako.
Wisdom is chasing you but you are always faster. Dundee United.
Hili la counsel is like you have found a toilet to rush to and purge your filth LOL! . You don't even know what's being discussed in those high-level meetings in UN. Huko wa-discuss mambo ya madogo kama ya Chadema? I think you're among those with low IQ who blindly praise mama anaupiga mwingi!
 
Hili la counsel is like you have found a toilet to rush to and purge your filth LOL! . You don't even know what's being discussed in those high-level meetings in UN. Huko wa-discuss mambo ya madogo kama ya Chadema? I think you're among those with low IQ who blindly praise mama anaupiga mwingi!
Unakwepa hoja kwa kujifanya unajua kuandika kiingereza.At least umekubali kumeza matapishi yako kwamba UN hawawezi kusikiliza mambo madogo madogo kama ya Chadema.
Sasa ulikuwa unashupaza nini shingo kudai kwamba Tanzania ilichukuliwa hatua kwa barua ya Chadema?
Hoja yako imekuwa matusi sasa baada ya kushindwa kutetea uzushi uliouleta hapa.Dundee United.
 
Unakwepa hoja kwa kujifanya unajua kuandika kiingereza.At least umekubali kumeza matapishi yako kwamba UN hawawezi kusikiliza mambo madogo madogo kama ya Chadema.
Sasa ulikuwa unashupaza nini shingo kudai kwamba Tanzania ilichukuliwa hatua kwa barua ya Chadema?
Hoja yako imekuwa matusi sasa baada ya kushindwa kutetea uzushi uliouleta hapa.Dundee United.
Kuandika kiingereza ni kukwepa hoja? Wewe unavyochanganya na broken english unakwepa hoja? Sijabadili msimamo ila nimekupa elimu kuwa hizo organs ulizozitaja hazijishughulishi na vitu vya level ya chini kama hiyo kama unavyong'ang'ania wewe. Usiwe na inferior complex kwa sababu tu mtu anatumia kiingereza japo kutojua kiingereza kama ulivyo wewe kunaweza kukakufanya usielewe mambo ya dunia kwa upana.
 
1. Kwamba kinachoendelea Marekani ni jitihada za Serikali ya huko kupinga haki ya watu kujieleza?!

View attachment 2978304

2. Kutokuheshimiwa huku kwa wazi kwa misingi ya kawaida kabisa ya utawala wa sheria, ni wa kulaaniwa vilivyo na kila mtu na hasa mtanzania aliye mzalendo.

View attachment 2978320

3. Kwamba CHADEMA chama tegemeo kwa ukombozi wa nchi hii kipo kimya?! Siku yakiwakuta kwenye harakati za ukombozi kama ilivyokuwa enzi za "nabii jiwe," kwa hakika mkale mliko peleka mboga!

View attachment 2978307

4. Vipi ghafla kutaka kuwa popo? Haki ni haki tu!

View attachment 2978308

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

Za wapalestina nazo ni haki kama zilivyo za waandamanaji!

5. Haki za wanyonge ni haki za kupiganiwa na kila mwenye akili timamu:

View attachment 2978313

6. Kulikoni kutaka kuchanganya mambo? Mnyonge ni yeyote adhulumiwaye na awaye yote aliye na nguvu (kupitiliza) zaidi; za musuli!

7. Kwenye dunia iliyostaarabika hushindanishwa hoja si misuli! Labda kwenye ndondi tu!

8. Mashindano ya musuli, ni kwa wanyama mwituni huko.

9. Heko wamarekani na wote mliotokea kuzipinga dhulma hizi za wazi za waisrael na mabwana zao. Wenye kujitambua tuko nanyi; tuko na Palestina!

10. Viva resistance; viva Palestine; viva HAMAS!

Aluta Continua!
To be honestly wenyewe wana mambo mengi sahiz, why wahangaike na marekani wakati hapa nyumbani mambo hayaeleweki?
 
Back
Top Bottom